BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
- Thread starter
- #21
Ni kweli zinatofauti sana, kama kubwa inakusumbua kwenye kuiandika achana nayo, jizoeshe kuiandika k ndogo, itakusaidia kuremba mwandiko na mwalimu atakupa sifa!
umejuaje???
napenda ndogo kinomaa..
yani ikitokea ni lazima kuandika k kubwa
duh hata kalama cwezi kuinuaa...
na muandiko huwa mbayaa..