Ni kweli zinatofauti sana, kama kubwa inakusumbua kwenye kuiandika achana nayo, jizoeshe kuiandika k ndogo, itakusaidia kuremba mwandiko na mwalimu atakupa sifa!mh,mbona mm naona zinatofauti aisee...haswa kwenye kuiandika
Hata O mimi ilinipa mgogoro kwenye kuiandika. Utata unatokea pale kuitambua kama ni O kubwa au o ndogo halafu wakati wa kuikutanisha ni mgogoro mtupummh libent sasa unazidi kunichanganya...
kwan o ndio 0 kisifuri??mm
ndio cjui sasa ooo na sifuri...zote zina vitobo