nimefarijika sana kwa jwtz kuonyesha uthamini wao kwa kumtembelea mjane wa baba wa taifa hili na kumsaidia kufanya usafi kwenye eneo lake, hakika ni jambo zuri sana kwa kumkumbuka baba yetu mpendwa aliye lipigania taifa hili kwa akili zake zote na nia yake, na kwa moyo wake wote, na nguvu zake zote, inapendeza sana na hata mama kafarijika sana na hisi kakumbuka mengi sana enzi za uhai wa baba wa taifa wakati akitawala nchi hii.