.
huna jipya kulisingizia jeshi kwa maneno ambayo hayana chanzo cha uhakika.
Ni msimamo mzuri JWTZ. Itakuwa fundisho kwa serikalali.
CCM ni dhalimu sana na kandamizi kimfumo na kimkakati kwa watanzania:-
1) Angalia madai ya mafao ya wazee (sitaki kutaja wale wa iliyokuwa EAC)
2) Angalia danadana za malipo ya walimu
3) Angalia wafanyakazi wa Reli (TRC) na kwa sehemu TAZARA
4) Angalia madaktari na uboreshaji wa huduma za afya kwa ujumla
5) Angalia wanafunzi wa elimu ya juu (ndani na nje)
6) Angalia wakulima wa pamba, kahawa, korosho, mahindi nk jinsi walivyonywa na sasa wako mahtuti
7) Angalia wavuvi ziwa Nyasa, Tanganyika nk
8) Angalia wafugaji na jinsi mpaka sasa wamekuwa wanatangatanga na kuishia kugombana na wakulima kutokana na serikali dhaifu za ccm (sio hii ya Kikwete tu)
9) Nenda kwenye machimbo na migodi utaona zaidi ya kalamu na wino vinavyoweza kuripoti
10) Ongezea na wewe[/QUOTE
10) Angalia jinsi viongozi wa CCM walivyoficha mabilioni ya shillingi katika mabenki ya Uswisi kupitia mashirika ya uchimbaji mafuta na madini hapa TZ
Amiri Kama Yule wa UAMSHO ?Yale yale ya Mbunge kufumaniwa Singida JF-Kata wanafuata mkumbo kama kawaida yao...hivi hunajua amri akitoa Amiri Jeshi kuna mtu wa kupinga?
Katika hali isiyotarajiwa,Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limegoma kutoa Madaktari kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Madaktari wanaogoma katika Hospitali mbalimbali za Rufaa, Teule na nyinginezo.
Viongozi waandamizi wa Jeshi hilo Makao Makuu wameitaka Serikali kutafuta haraka suluhu ya mgomo huo badala ya kukimbilia kwa Jeshi kwa msaada huku tatizo likibaki.
'Tumewaambia waende wakatafute suluhisho' alisema mmoja wa Maafisa Waandamizi wa JWTZ mwenye cheo cha Brigedia Jenerali. 'Hii tabia siyo njema. Tatizo halitakwisha kwakuwa Serikali itakuwa na uhakika wa huduma ingawa si rasmi' aliongeza.
Serikali ifanye nini sasa?
Mimi mwenyewe