Haya wa kwenda mjiandae kwenda... Itakuwa mwezi wa 10.
Ungekua unalijua jesh vizur usingeuliza swal hlo@king
'Kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria........'Nipo nao hapa Makongo na Lugalo!!
Mwenye taarifa atujuze, vijana tupo tayari kuvaa gwanda! Ni tarehe ngapi vile?
Ungekua unalijua jesh vizur usingeuliza swal hlo@king
Hivi vyeo vya jwtz vinakuwaje?