Swagger is alive
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 559
- 466
Mpa
Niipende kwa lipi hasa?!Usipo ipenda nchi yako utapata wapi baraka?
Niipende kwa lipi hasa?!Usipo ipenda nchi yako utapata wapi baraka?
Endelea na chuki yako..acha sisi tupokee mibaraka kutoka kwa MOLA. ..Mpa
Niipende kwa lipi hasa?!
Kama alishabibi tu wanawatoa jasho unataka wawe wangapi?Wazee wa majisifa KENYA wapo nafac y ngapi?
Haya BA kiswahili.kilahisi
Kilahisi = kirahisi
Warakini = walakini
Wanasema wako tayari kwa lolote ila nadhani hawako tayari kwa Natural disaster.JW hawajaonyesha kama jeshi linaloweza kurespond katika majanga,wakati KDF wanaleta misaada kwa mbwembwe kwa misafara ya magari wao wako bize na ratiba ya mazoezi
Wape moyo wako ufe mwenyewe, kwa hilo siamini na sintoamini. Watuwekee ushuhuda kwa yale yaliyofanyika hadi kuwa nafasi ya 27Jama tu wape moyo watu wetu tusi jiweke nyuma vile yupo vizuri ula Duniani 27 sina wakika nalo meta uzi tupe list na vigezo please
Hii ngumu kumesa.Mnadhimu mkuu wa jeshi la wananchi wa Tanzania Luteni Generali Venance Mabeyo akihojiwa leo kwenye ufunguzi wa mazoezi ya namna ya kukabiliana na maadui kwenye maeneo ya pwani na visiwani vilivyo husisha jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) vikosi vya anga na wanamaji aliongea kuwa kwa namna jeshi la wananchi wa Tanzania lilivyo bora hata kusifiwa kimataifa kutokana na uwezo wanao uonyesha nje na ndani ya nchi ikiwa kimataifa kwa sasa kuwa nafasi ya 27. Katika mazoezi hayo yatakayo husisha namna ya kukabiliana na waharamia katika pwani yalifunguliwa leo na rasmi yatafungwa na amiri jeshi mkuu wa Tanzania, rais John Magufuli.
Nimeangalia habari itv, mnadhimu hakusema afrika hatuna mpinzani bali ni Spencer Lameck ndo alisema hivyo, shirikisha ubongo wako, usimeze kila kitu unachosikia kwa mtu yeyote!Yaani watanzania manyumbu kweli wanadanganywa mchana kweupeee eti cc wa 27 worldwide, kwa bajeti ipi ya wizara ya ulinzi,vifaa vya kijeshi na wingi wa wanajeshi,na mataifa tajiri duniani ndo tuyashinde maana cc hata nchi tajiri 200 duniani hatupo,alafu jamaa anasema cc Africa hatuna mpinzan,kwahiyo tumewazidi South Africa? Ni unyumbu wa kiwango cha PhD.
Hovyo kabisa aan.Unajua akili za wale Bavocha utaziona tu
Na hapa ndio unajua kwamba kuna watu akili wanazo za kuvaa nguo tu,na wameisha aathirika kisaikolojia na Siasa.Angalieni,mwisho wake mtoto unaemzaa anaweza kuwa na uono wa kuchambua kuliko Mzazi,hii inakuwa mwisho ni Aibu
Napongeza Jeshi la JWTZ kwa ubora wao,na hili linajulikana,labda kwa wale wenye kuishi ilimradi siku zinaenda tu.
Tupo vizuri sana Ila wenyewe tu hatujikubali kuna watu wao kila kitu chema nchini kwao wanaponda tu35 Most Badass Elite Special Forces From Around The World
Hii habari ilikuwa hewani baada ya M23 kusambaratishwa huko CONGO. List hapo juu iliyosambaa mitandaoni Duniani TZ special force utaikuta namba 27.
Hiyo list hata mimi nilishaga iona ila nahisi ni ya uongo ukiangalia kunanchi hawatufikii kabisa