Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 9,872
- 8,894
Unajua akili za wale Bavocha utaziona tu
Na hapa ndio unajua kwamba kuna watu akili wanazo za kuvaa nguo tu,na wameisha aathirika kisaikolojia na Siasa.Angalieni,mwisho wake mtoto unaemzaa anaweza kuwa na uono wa kuchambua kuliko Mzazi,hii inakuwa mwisho ni Aibu
Napongeza Jeshi la JWTZ kwa ubora wao,na hili linajulikana,labda kwa wale wenye kuishi ilimradi siku zinaenda tu.
Na hapa ndio unajua kwamba kuna watu akili wanazo za kuvaa nguo tu,na wameisha aathirika kisaikolojia na Siasa.Angalieni,mwisho wake mtoto unaemzaa anaweza kuwa na uono wa kuchambua kuliko Mzazi,hii inakuwa mwisho ni Aibu
Napongeza Jeshi la JWTZ kwa ubora wao,na hili linajulikana,labda kwa wale wenye kuishi ilimradi siku zinaenda tu.