Yeyote wakat wakisafshMtu gani?
UVCCM wanataka kuandamana tarehe 30/31 hapa tunaongelea tarehe moja ...mbona unajitoa akili?Ohooooo ile mbinu ya maandano ya UVCCM ya Umoja wa KUmpongeza MAgufuli imeishia wapi?
Sinema linaendelea .
CCM are very predictable.. Haya yote yalishategemewaits obvious ,tamko la JW Lilitegemewa...
L Unaambiwa wanajeshi wamejifunza kuua
Mkuu wao watafanya usafi na nyie mtafanya maandamano na sisi wengine tutafanya shughuli zingine bila kuingilia shughuli ya mwenzie.Acha wafanye ili tuwe wananchi tunaopenda demokrasia+polisi+wanajeshi...ukisikia wimbo wa parapanda italia....ICC na ICJ hawatapata tabu kuwakamata watuhumiwa
Kwa hiyo mnataka mkifanya maandamano na wengine wasifanye shughuli zao..Ishakuwa kama mihimili inayoingiliana vile