Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,374
- 5,013
Tuchanganye kidogo akili zetu, ni jukumu la jeshi kufanya usafi mitaani na kwenye taasisi zingine. Wanajitolea kwa ajili ya sikuu yao, wameamua kulaza majukumu ya yao ya msingi bado tunaona siyo sawa.Kupanda miti sawa, usafi mara moja kwa mwaka sio sawa.