JWTZ kupiga doria barabarani: Mwamunyange ameenda mbali mno...

Mi nilitaka wapindue nchi kabisa maana serikali iliyopo imeshndwa kazi,next time jeshi msikosee tena,ni jukumu lenu kulinda sasa naona serikali inahatarisha itoeni,
 
Bado hujajua kazi ya jeshi wewe.
Hakuna kosa la ufundi, ni wewe tu umetafsiri vibaya.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mleta hoja ameongea kitu ambacho si cha kupuuza. Maamuzi ya wanajeshi kutoka barracks na kuingizwa mtaani ni maamuzi mazito sana. Rais hawezi kutoa maagizo kupitia simu na kadhalika, protocol hairuhusu. Hivyo basi ni vyema tukaelewa, je cabinet ilikaa? Nani aliongoza cabinet? Inasemekana hata Pinda hakuwepo, je Bilal ndo alifanya maamuzi magumu? Na kama uamuzi haukuwa wa cabinet basi ni kikundi gani kilipanga kwa maagizo ya nani? Tusije tukawa kama baadhi ya nchi ambapo kimyakimya jeshi ina-take over ingawa hawaonekani hadharani na wanaonekana kumtii Amri Mkuu wa Jeshi (Rais) ila wanafanya watakalo...
Leo tusisahau ya jana.. je JWTZ ingetumika Arusha 2011 au Iringa 2012 tungekuwa bado tunashangilia?
 
Bado hujajua kazi ya jeshi wewe.
Hakuna kosa la ufundi, ni wewe tu umetafsiri vibaya.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Wewe subiri Chadema waitishe mandamano Dar es Salaam bila kibali ndio utajua kazi yao.
 
Watanzania badala ya kusukuma gurudumu la maendeleo lisonge mbele tunashughulika na vilaza wapagani wasio na ilmu. Mwamini Yesu Kristo nawe utaokoka.
 
Hivi tuna waziri wa mambo ya ndani? Na je tuna IGP? Why are they still sleeping? Naona kuna tatizo katika utendaji wa kazi wa Mh. waziri na IGP. Waachane na dhana ya kujaza polisi mikutano ya CDM sasa na wazuie jazba za kidini before is too late.
 
Jamani ninavoelewa JWTZ haliruhusiwi kuingilia usalama wa ndani mpaka ipate idhini ya bunge. Chukulia mfano kenya juzi walipouana ktk mapambano ya kikabila ambapo zaidi ya watu 100 walipoteza maisha baraza la mawaziri liliitwa kujadili kuingiza jeshi kwenye usalama wa ndani na baadae bunge liliitwa kuidhinisha matumizi ya jeshi kwa usalama wa ndani.ktk historia ya Tanzania itakuwa mara ya kwanza jeshi kuitwa kusmamia shuguli za ndani I mean fujo zilizotokea. Je taratibu zetu zilifatwa kulitumia JWTZ ktk usalama wa ndani? Nani aliidhinisha? Tuangalie Egypt jeshi liliingia wakati Mubarak alipokuwa anang'olewa pamoja na fujo zote za taharir square jeshi lilikuwa kimya mpaka dk ya mwisho coz ndo utaratibu ulivo.
 
Watu hawakuelewa kwa nini wanajeshi walimwaga mitaani huu ni ujumbe kwa Chadema.


ahaaahaa ujumbe mzito mkuu siku hizi kisago ni mwanaukome! jamaa hawajui hata taratibu za kuendesha nchi eti wanauliza nani alikuwa anaendesha nchi sasa kweli wataweza au kelele nyingi tu

Chama
Gongo la mboto DSM
 
To me, nimeangalia impact, they decide to use JWTZ then it work... So wapo sawa kabisa..! Mambo ya kupimana Ubavu na Serikali siyo mazuri kabisa.! Waislamu mnaturudisha nyuma sana kimaendeleo...! Hivi ingekua rais ni mkristo hali ingekuaje??? Ifike mahali jichunguzeni kwanza na kujiuliza ni Mungu gani mnaemtumaini wenzetu? Inauma Uchungu sana kila nikifikiria reactions zenu..
 
Nadhani tatizo lipo zaidi katika uelewa wako kuliko JWTZ kuonekana mitaani. Hapo kwenye nyekundu umesema nini na unahoji nini? JWTZ walichofanya ni sahihi kabisa, walichofanya ni kuwaonesha waleta fujo kuwa wao wapo, na kama wanadhani wanaweza kuwazidi nguvu polisi kutokana na uwingi wao, nyuma ya polisi kuna utitiri mkubwa wa askari, wote kwa pamoja, lengo lao kuu ni kuhakikisha nchi inakuwa salama. Katika kadhia ya jana, hakuna askari wa JWTZ aliyewafanyia chochote waleta vurugu, bali walijionesha tu kwa waleta vurugu, kuwa wapo.

Tena Amiri Jeshi Mkuu alistahili kupeleka askari wote, mgambo, uhamiaji, n.k., jukumu lao la msingi ni moja, nalo ni usalama wa Taifa letu, mengine yote ni mgawanyo wa ndani wa kazi za majeshi, na ndiyo maana mkuu wao wa kazi ni mmoja, Amiri Jeshi Mkuu ambaye anaweza kuamuru jeshi lolote lile lishiriki katika shughuli yoyote ile ya kuhakikisha usalama wa Taifa. Nadhani shule hii ndogo inatosha kwa leo.

Kwa wananchi wanaofahamu tofauti ya jeshi la polisi na jeshi la wananchi wa Tanzania, leo imeonekana kwamba kuna tatizo.

Kwa wale wananchi wasiofahamu tofauti ya majeshi haya mawili wameona ni sawa na ni jambo la kushangaza kidogo la kuleta msisimko fulani.

Polisi wakiwa na jukumu la kulinda usalama wa raia na mali zao, JWTZ wao ni kulinda nchi kwa ujumla na mipaka yake.
 
Watu hawakuelewa kwa nini wanajeshi walimwaga mitaani huu ni ujumbe kwa Chadema.

Wale walikuwa wanapita tu na shughuli zao. It just happened as a coincidence kwamba walipita maeneo yenye fujo. Ndo maana hawakushuka wala kufanya show yeyote
 
Udini umepandwa na 'rahisi' ambaye ni dhaifu na kutokana na udhaifu huo ameshindwa kudhibiti madhara yake. Hata mimi ningekuwa kiongozi wa nchi ningewashughulikia ipasavyo hao wanaojiita wanaharakati wa kiislam.

Udini umepandwa na CHADEMA, kupitia kwa Padri Slaa, mchungaji Msigwa n.k!
 
General Objective ya Jeshi lolote iwe polisi au JWTZ ni kulinda amani! Hata wewe ni jukumu lako kulinda amani! Hivyo hakuna kosa hapo

jukumu la ulinzi na usalama linaweza fanywa na raia yeyote yule, LAKINI, kiprotocol ndani ya mfumo rasmi, aliyasema mdau hapa ni sahii, shughuli hii ilikuwa ni kufanywa na Police na Sio JWTZ, Ila hatuna haja ya kujadili au kulaumu sana hili. Tuangalie kusudio kuu muhimu ambalo ni "AMANI" ya TANZANIA
 
Back
Top Bottom