Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
wakuu Salaaam
Nchi kama China kabla haijafikia ilipo leo makampuni makubwa ya kwanza yalichochea maendelo ilikuwa ni ya jeshi. BAE ya UK ambayo ni kampuni iliyoajiiri waingereza wengi ni kampuni ya Jeshi. Tunajua Majeshi ni one of the wing ya serikali
Nini nachotaka kusema ?
Ni kujidangaya kuwa tupata maendeleo kwa serikali kukaa pembeni eti kuwa kigezo cha biashatra huria na uchumi huria. Tunaweza tusiwe na uwezo wa kuwa na viwanda kama China au UK lakini kuna fursa ya mazingira na vijana wetu tunaweza kutumia kwa kutumia jeshi .
JWTZ, JKT au serikali wanaweza kufanya nini ?
Michezo mbali mbali ina nafasi kubwa ya kuzalisha nyota lakini tumelalala. Kwa nini
Michezo ni chanzo ajira nzuri inayoweza kuinua maisha ya watu hata ambao hawana elimu kubwa na vile vile kuitangaza Tanzania. Tatizo tulilonalo hakuna taasisi ya kuweza kutambua na kuwandeleza watu wenye vipaji fulani vinavyoweza kuwasaidi watu wa kawaida na kuitangaza nchi katika dunia.
Serikali isisishie tu kujenga vyuo vikuu tu nchii hii haitajengwa na wavaa tai tuuuuu. Serikali iangalie uwezekano wa kuwapa uwezo watu wa matabaka ya kati na chini na wale ambao hawakuendelea na elimu.
Nchi kama China kabla haijafikia ilipo leo makampuni makubwa ya kwanza yalichochea maendelo ilikuwa ni ya jeshi. BAE ya UK ambayo ni kampuni iliyoajiiri waingereza wengi ni kampuni ya Jeshi. Tunajua Majeshi ni one of the wing ya serikali
Nini nachotaka kusema ?
Ni kujidangaya kuwa tupata maendeleo kwa serikali kukaa pembeni eti kuwa kigezo cha biashatra huria na uchumi huria. Tunaweza tusiwe na uwezo wa kuwa na viwanda kama China au UK lakini kuna fursa ya mazingira na vijana wetu tunaweza kutumia kwa kutumia jeshi .
JWTZ, JKT au serikali wanaweza kufanya nini ?
Michezo mbali mbali ina nafasi kubwa ya kuzalisha nyota lakini tumelalala. Kwa nini
- JWTZ au JKT Kigamboni isianzishe chuo cha kuongelea. Kuna vijana nawaona wanakimbiza na viongozi wa fery sababu wanapenda kuchezea maji. Vijana wale ujuzi wao ukitumiwa mapena wakapata wakufunzi wazuri Tanzania itakuwa mbali kimchezo.
- JWTZ JKT Mkoni Arusha ianishe kituo cha mafunzo na mazoezi ya riadha ambapo wanafunzi wa shule mbali mbali za primary na sekondary wanaweza kuhudhuria kwa muda fulani na
- JWTZ JKT Mwanza wanaweza kushirikiana na wavuvi. Kule kun watu wanapiga kasia . Pia Kuna watu pia wanaendesha basikeli kama kina armstrong
Michezo ni chanzo ajira nzuri inayoweza kuinua maisha ya watu hata ambao hawana elimu kubwa na vile vile kuitangaza Tanzania. Tatizo tulilonalo hakuna taasisi ya kuweza kutambua na kuwandeleza watu wenye vipaji fulani vinavyoweza kuwasaidi watu wa kawaida na kuitangaza nchi katika dunia.
Serikali isisishie tu kujenga vyuo vikuu tu nchii hii haitajengwa na wavaa tai tuuuuu. Serikali iangalie uwezekano wa kuwapa uwezo watu wa matabaka ya kati na chini na wale ambao hawakuendelea na elimu.