Nalileta hili kuhusiana na kinachoendelea katika Mbunge letu kwa sasa, nilijua ni Makinda tu hawezi kumudu kuongoza mijadala, J. Mhagama naye naona hakuna lolote ameshindwa kabisa kuhimili, nikaenda mbali zaidi kumkumbuka Sofia Simba ambaye aliwahi kutamka kauli mbozu kabisa akihusisha nafasi ya kupata uongozi na kugawa uloda.
Ili linakuwaje ? najua pengine Tanzania inatawaliwa na mfumo dume wanaume wengi hawako tayari kutii amri wanapoamrishwa na mwanamke, Bunge limekuwa ka Kariakoo, nafuu hata Kariakoo mnaweza kusikilizana
Ili linakuwaje ? najua pengine Tanzania inatawaliwa na mfumo dume wanaume wengi hawako tayari kutii amri wanapoamrishwa na mwanamke, Bunge limekuwa ka Kariakoo, nafuu hata Kariakoo mnaweza kusikilizana