YA PILI NI VATICAN.kinyume na sheria ya serikali ya Tanzania.Mtanzania hatakiwi kuwa na pasipoti mbili.mwenzetu anazo tayari ana enjoy sheria ya Dual National.Pengo alipata wapi pasipoti ya pili?
YA PILI NI VATICAN.kinyume na sheria ya serikali ya Tanzania.Mtanzania hatakiwi kuwa na pasipoti mbili.mwenzetu anazo tayari ana enjoy sheria ya Dual National.Pengo alipata wapi pasipoti ya pili?
Haki ya mtu si lazima wawe wengi, kwanini Wazanzibar wanapata mambo mangapi jee kwa idadi ya watu?Kazi imeanza sasa. Mbunge gani huyo aliyetumbua jipu ambalo kwa hakika mimi naona limeiva.
Ila kitu kimoja ambacho amesahau ni kuwa, ikiwa hoja ni wingi wao(SIJUI KWA SENSA GANI?)basi wawatuletee sharia kabisa waanze kutukata mikono.
Huyo mbunge mimi amenifurahisha kuwa walichikuwa wakikitaka si kashi bali ni kuleta utawala wa kidini TANZANIA.
Kwa kuwa hoja kama ni kadhi sijui kama kuna mtu alikuwa analikataa, kilichokuwa kinagomna ni jinsi serikali ianzishe chombo cha waislamu badala ya waislamu wenyewe kuanzisha.
Serikali ni ya wote, Kadhi niwa waislamu, sasa serikali ndio ndio inaanzisha au waislamu wenyewe waanzishe.
Ngoja tusubiri ila naomba jina la mbunge husika.
leo hii ikitokea Benki ya kiislam inaanzishwa Tanzania nadhani hakutakalika.
kulikuwa na Benki ya GreenLand kwa vile owner wake alikuwa muislam ilifanyiwa fitina na kuvunjwa, wengi walikosa ajira lakini kwa vile ni muislam.
KWA HILI JF SIO WAJUZI LAKINI MWAWEZA KUENDELEA NA UMASAKU WENU KAMA KAWAIDA KUONGEA HAKUNA KUTOA KODI
ILANI YA CCM YA MWAKA 2005 INASEMA JE?
Sawa na Utajibiwa kama ifuatavyoNa mimi nauliza swali;
Sheria inatambua kwamba kuna ndoa za Kiislamu, lazima pia kuwe na utaratibu wa kisheria wa kuvunja ndoa zilizofungwa Kiislamu, hence mahakama ya kuapili in case divorce zitakuwa zinamatata... in short mahakama za sasa haziwezi kuifanya hiyo kazi,,, iliyokwenye imani za dini ya kiislamu na kitabu chao-ni kitu gani kinakosekana katika mfumo wa mahakama zilizopo ambacho unafikiri ni muhimu kiundiwe mahakama ya peke yake?
Jibu ni hapana, makosa ya jinai yatakuwa kwenye mahakama ya ki-serikali.-Je; hiyo mahakama ya kadhi itahusisha masuala ya Jinai?
Hapa ndio umasaku ulipo!, sheria zilizotungwa na kina Bush, na kupewa tafsiri zenu mnazosema ati haki za binadamu, na sheria hizi zimetungwa na walewale waliosema democracy ni vyama vingi na kuacha watu wachague serikali wanayoitaka, watu hao hao, HAMAS ilivyoshinda Palestina, wakasema hapana... so... Tafsiri za binadamu ni dhaifu huwezi kulinganisha na imani za dini ambazo ni kwamba hicho kitu ni cha Mwenyezi Mungu-katika masuala ya mirathi sheria ya Kiislam iko kinyume na sheria nyingi sana za haki za binadamu ambazo mikataba yake ya Kimataifa imesainiwa na nchi yetu; je, kwa kuipitisha hiyo sheria ya mahakama ya kadhi, nchi yetu itakuwa imejiondoa kwenye hiyo mikataba ya haki za binadamu ya Kimataifa?
Haiwezi leta mgongano, ndio maana unatakiwa sheria zote zinazogongana ziweke sawa ili mahakama ya kadhi ifanye kazi yake bila kuathiri vifungu vingine vya katiba... mifano, Kenya, Zanzibar, Mozambique no case study ya kusema kulikuwa na mgongano otherwise tunaomba kama una sehemu ili tusome nasi tuelimike-pamoja na kwamba imesemwa hapa kuwa wasio waislam hawataathirika na sheria hiyo; wewe binafsi huoni kuwa italeta mgongano katika sheria ya nchi yetu ambayo haifungamani na dini yoyote?
Sheria inatambua kwamba kuna ndoa za Kiislamu, lazima pia kuwe na utaratibu wa kisheria wa kuvunja ndoa zilizofungwa Kiislamu, hence mahakama ya kuapili in case divorce zitakuwa zinamatata... in short mahakama za sasa haziwezi kuifanya hiyo kazi,,, iliyokwenye imani za dini ya kiislamu na kitabu chao
.Jibu ni hapana, makosa ya jinai yatakuwa kwenye mahakama ya ki-serikali
Hapa ndio umasaku ulipo!, sheria zilizotungwa na kina Bush, na kupewa tafsiri zenu mnazosema ati haki za binadamu, na sheria hizi zimetungwa na walewale waliosema democracy ni vyama vingi na kuacha watu wachague serikali wanayoitaka, watu hao hao, HAMAS ilivyoshinda Palestina, wakasema hapana... so... Tafsiri za binadamu ni dhaifu huwezi kulinganisha na imani za dini ambazo ni kwamba hicho kitu ni cha Mwenyezi Mungu
- lakini serikali yetu imeshakataa suala zima la marekebisho ya Katiba; unless igeuze huo msimamo kwa makusudi tu ya kuweka suala la Kadhi.Haiwezi leta mgongano, ndio maana unatakiwa sheria zote zinazogongana ziweke sawa ili mahakama ya kadhi ifanye kazi yake bila kuathiri vifungu vingine vya katiba... mifano, Kenya, Zanzibar, Mozambique no case study ya kusema kulikuwa na mgongano otherwise tunaomba kama una sehemu ili tusome nasi tuelimike
Mimi nijuavyo diplomatically tanzania inaweka position ya waislamu na wakristo equally at 35/% each to make it 70% na dini nyingenezo the last 35% including wapagani.
Kuhusu kadhi we can say ok, lakini anayetaka suala lake liamuliwe kwa kutumia Sheria hizo asaini tu mkataba huo , maana kuna wengine waislamu lakini kutokana na mabadiliko ya Dunia wasinge penda kutumia Sheria Hizo.
Pili naommba jina la Huyo mbunge aliye ulizia hilo Jambo. ili niweze kutafakari vizuri hiyo kauli yake na yeye mwenyewe.
Katika sheria hiyo ya Kiislamu ndio inatambua kwamba wale watakaokuwa hawajaelewana kuhusu mgawanjo wa mirathi na n.k. watapeleka shauri lao kwenye mahakama ya kadhi.-Hata sasa iko sheria na utaratibu wa kuvunja ndoa ya kiislam ndani ya Uislam, na inatumika. Kinachoongezeka hapa ni kwamba waislam wana uwanja pmana zaidi wa kuchagua, ama kutumia sheria ya kiislam au ya kiserikali(sheria ya ndoa)
Swadakta, kawaida kwenye masuala haya sio kila kitu kinatakiwa kiende mahakamani lakini, pale wanandoa wanandugu wakishindana haya yanatakiwa yapelekwe mahakamani ambapo, mahakama inayotambuliwa na dini/imani hiyo ni mahakama ya kadhi. Kuappeal hapa ni kile kitendo ambacho wanafamia hamjakubaliana kwa hiyo mnapeleka mbele... mnakata rufaa mahakamani... na si kwingine bali mahakama ya kadhi-Hapo kwenye appeal sijakuelewa. Ninavyoelewa, unisahihishe kama nakosea, katika sheria za kiislam utaratibu wa kuvunja ndoa ni mzuri na una vipengele vingi vinavyojitosheleza, hadi vya mgawanyo wa mali ambapo huko kuna 'kitoka unyumba' nk
-Mahakama zilizopo sio kwamba haziwezi kuifanyahiyo kazi kama ulivyosema; tatizo hapa ni kwamba unapopeleka shauri lako mahakamani mahakama inatumia sheria ya ndoa/mirathi ya kiserikali, lakini kwenye masuala ya ushahidi hizo element za uislam zinategemea ni nani anasikiliza kesi..hakimu/jaji mwingine anaweza kuheshimu hivyo vipengele vya taratibu za kiislam wakati mwingine anasimamia sheria ya ndoa/mitarhi inasema nini bila kujali uislam au ukristo hata kama kufanya hivyo kutaathiri; hapo inaweza kuwa na mgongano wa maamuzi kati ya mahakama moja na nyingine. Suluhisho la tatizo hili sio kuanzisha mahakama ya kadhi; kurekebisha hizo sheria ili zi-accomodate interest za pande zote inaweza kutosha.
Makosa mengi ya kijinai (hapa ni mawazo yangu) ni ya kiutendaji/utawala na kwa kuwa Tanzania sio dola ya kiislamu... Mahakama ya Ki-serikali inachukua mkondo.-Kwanini wakati sheria ya Kiislam ina utaratibu wa kushughulikia wakosaji wa kijinai?
-Nina hakika mahakama hii ikianzishwa kama vipengele vya kijinai havitaingizwa basi muda si mrefu kashehse litazuka. Nikiwa muislam nikimfumania mke/mume wangu nitataka sheria ya kiislam ichukue mkondo wake; polisi wakinikamata nitataka kesi yangu isikilizwe mahakama ya kadhi maana huko waislam wenzang watanielewa.
Kwanza sheria za dini ya kiislamu kwenye mambo ya ndoa/nirathi haziendi tofauti na hizo zinazoitwa haki za binadamu, hence hakuna haja ya kujitoka kwenye kuridhia mikataba. Only tunekuwa kwenye jinai pia huko ndio kungekuwa na tatizo ya mitazamo-hapo hujajibu swali langu: je, serikali yetu itajiondoa kwenye hiyo mikataba ambayo tayari imesharidhia?
Hizo sheria unazosema zimetungwa na Bush upende usipende ndio zinaongoza kula na kulala kwako hapa Tz na kokote kwingineko ingawa kwa macho yako ya kawaida huoni!
Ume-missquote; wamekataa kuleta katiba mpya, marekebisho wanafanya kwa sasa yalishafikia 11- lakini serikali yetu imeshakataa suala zima la marekebisho ya Katiba; unless igeuze huo msimamo kwa makusudi tu ya kuweka suala la Kadhi.
Hivi Wakristo wapo wangapi? RC wangapi? Lutheran, Anglikan? Na hao wengine? then tunaweza kuchukua total number ya 38m tokatoa Wakristo itatuta picha fulani!
How is 35% arrived at?
Hivi Wakristo wapo wangapi? RC wangapi? Lutheran, Anglikan? Na hao wengine? then tunaweza kuchukua total number ya 38m tokatoa Wakristo itatuta picha fulani!
How is 35% arrived at?