Mzee Mwanakijiji,
Nafikiri msimamo wa JK ni mzuri. Binafsi nakubaliana na alichosema.
Mapambano ya USA na Iran ni ya kwao na afadhali sisi tukae katikati
na kufuata mikataba ya dunia. Hakuna haja ya kuingia kwenye ugomvi wa watu wengine.
Iran na Israel hawana tofauti yoyote. Mmoja ametamka dhamira yake kwa maneno na mwingine anafanya kwa vitendo kule Palestina.
Wacha sisi tukae pembeni maana hatuna nguvu ya kuamulia huo ugomvi.
Nafikiri msimamo wa JK ni mzuri. Binafsi nakubaliana na alichosema.
Mapambano ya USA na Iran ni ya kwao na afadhali sisi tukae katikati
na kufuata mikataba ya dunia. Hakuna haja ya kuingia kwenye ugomvi wa watu wengine.
Iran na Israel hawana tofauti yoyote. Mmoja ametamka dhamira yake kwa maneno na mwingine anafanya kwa vitendo kule Palestina.
Wacha sisi tukae pembeni maana hatuna nguvu ya kuamulia huo ugomvi.