Pasco;
ICC wakitoa hukumu lzm iende kwenye Mahakama Kuu ya nchi husika kusajiliwa na ndipo hapo walioshinda kesi watalipwa;Serikali kama inaona ilionewa na ina ushahidi wa madai yao inaweza ikaiambia Mahakama Kuu yake isiisajili kesi hiyo na hao DOWANS hawatalipwa!
Nchi nyingi tu duniani kwa kupitia Mahakama zake kuu zimewahi kukataza kusajiliwa kwa kesi za ICC na kutolipa wanao wadai na Tanzania inaweza fanya hivi maana DOWANS ilinunua mkataba kutoka RICHMOND kampuni ambayo Kamati teule ya Bunge iliwatangazia wa Tanzania kuwa ni ya kitapeli!
Kwa nini watanzania wawalipe hela matapeli,tuna sababu nzuri tu ya kuiambia ICC kuwa DOWANS hatuilipi maana ilichukua mkataba wa Richomond kampuni hewa isiyokuwepo duniani?
mkuu... kwenye red hapo ni kuuingilia uhuru wa mahakama kati ya mihimili hii miwili.... sahihi ni kwamba serikali inaweza ikaweka pingamizi ili hukumu isisajiliwe