Juu ya DOWANS: Mwakyembe ashangaa kutaka kulipa matapeli

Pasco;

ICC wakitoa hukumu lzm iende kwenye Mahakama Kuu ya nchi husika kusajiliwa na ndipo hapo walioshinda kesi watalipwa;Serikali kama inaona ilionewa na ina ushahidi wa madai yao inaweza ikaiambia Mahakama Kuu yake isiisajili kesi hiyo na hao DOWANS hawatalipwa!

Nchi nyingi tu duniani kwa kupitia Mahakama zake kuu zimewahi kukataza kusajiliwa kwa kesi za ICC na kutolipa wanao wadai na Tanzania inaweza fanya hivi maana DOWANS ilinunua mkataba kutoka RICHMOND kampuni ambayo Kamati teule ya Bunge iliwatangazia wa Tanzania kuwa ni ya kitapeli!

Kwa nini watanzania wawalipe hela matapeli,tuna sababu nzuri tu ya kuiambia ICC kuwa DOWANS hatuilipi maana ilichukua mkataba wa Richomond kampuni hewa isiyokuwepo duniani?

mkuu... kwenye red hapo ni kuuingilia uhuru wa mahakama kati ya mihimili hii miwili.... sahihi ni kwamba serikali inaweza ikaweka pingamizi ili hukumu isisajiliwe
 
Tukisoma Taratibu Zenyewe za ICC Tunaona Kwamba Serikali ya JK na CCM Wamevunja Sheria za Tanzania na Kudharau Mahakama Kuu ya Tanzania. Tusome Hapa Chini Kutoka Website ya ICC:

[URL="http://www.iccwbo.org/court/arbitration/id4584/index.html"]Arbitration[/URL]
Often the parties are from markedly different national, cultural and legal backgrounds.
They want to avoid litigation because they fear bias by national courts, are unfamiliar with national court procedures and want to be spared damaging publicity. ICC arbitration is an attractive alternative because it is international and confidential. Usually, it is less time-consuming and less expensive than litigation.

he Court organizes and supervises your arbitration and helps in overcoming obstacles. It does not itself resolve disputes, a task that is carried out by independent arbitrators. The Court makes every effort to ensure that the award is enforceable in national courts if need be, although in practice the parties usually comply

Under ICC Rules, the parties can choose the arbitrators, the place of arbitration and which rules of law should apply. They can even indicate a target date for completing the arbitration and estimate approximate costs in advance in full confidence that the Court will exercise control over the choice of the arbitrators, over the procedure, over the costs and over the award

Ukisoma Yote Haya Tutaona Jinsi Gani JK na Rostam Wametuchezea Ngoma Watanzania. Wanafikiri Hatujui Jinsi ya Kuresearch na Kupata Information Sahii. Huu Ndio Mwisho wa CCM na JK...


Ama kweli Tanzania mambo yameiva. Jamani wenzetu mnaopiga kura kwa ccm hali mmefunga macho hebu yafumbueni macho yenu. Ikiwa hata mawaziri wanashindwa kuvumilia na kulazimika kupingamana na dhamira ya wazi ya mkubwa wao inakuambia nini? Ina maana moja tu. Uonzo wa ccm umefikia mahali ambapo umeanza kuinukia yenyewe. Ukiona mtu anaonea kinyaa sura yake mwenyewe ujue ama ni mwendawazimu au uchafu wake umevuka mpaka.
 
Pasco;

ICC wakitoa hukumu lzm iende kwenye Mahakama Kuu ya nchi husika kusajiliwa na ndipo hapo walioshinda kesi watalipwa;Serikali kama inaona ilionewa na ina ushahidi wa madai yao inaweza ikaiambia Mahakama Kuu yake isiisajili kesi hiyo na hao DOWANS hawatalipwa!

Nchi nyingi tu duniani kwa kupitia Mahakama zake kuu zimewahi kukataza kusajiliwa kwa kesi za ICC na kutolipa wanao wadai na Tanzania inaweza fanya hivi maana DOWANS ilinunua mkataba kutoka RICHMOND kampuni ambayo Kamati teule ya Bunge iliwatangazia wa Tanzania kuwa ni ya kitapeli!

Kwa nini watanzania wawalipe hela matapeli,tuna sababu nzuri tu ya kuiambia ICC kuwa DOWANS hatuilipi maana ilichukua mkataba wa Richomond kampuni hewa isiyokuwepo duniani?

Soma vizuri hukumu, mkataba ni baina ya Dowans na Tanesco. ICC huwezi kukiuka hukumu yao na nchi ikikataa kulipa kitachofatia ni kutolewa kwenye uanachama wa ICC, sasa sijui hapo biashara zako utafanya na nani kwani nchi nyingi na bidhaa za biashara kubwa lazima ziidhinishwe na Chemba za biashara. Hapo ndio panakuwa patamu. Hili ni pigo kubwa kwa waTanzania.

Nilisema na ninasema tena, aliyesababisha hili ni yule aliyekurupuka na kuvunja mkataba halali na si yule aliyeweka mkataba.
 
come rain ..come sun, go east.. go west.... Zomba wewe sio Mtanganyika

LAT, Zomba ni Mtanzania tatizo lake he is realist wakati wengi humu ni ma populist wanafuata public opinion. Mimi ni kama Zomba, kwa hukumu ya ICC, tumeshikwa pabaya na hatuna pa kutokea and that is a fact!.

Pasco you missed my point.... i stand to my point Zomba sio Mtanganyika i dont care Zomba preaches what... what i know zomba is a hate preacher
 
Pasco you missed my point.... i stand to my point Zomba sio Mtanganyika i dont care Zomba preaches what... what i know zomba is a hate preacher

Nimezaliwa Tanganyika, jee wewe umezaliwa Tanganyika au Tanzania? Hisabu miaka yako halafu nijibu. Kwa sasa si Mtanganyika, ni mTanzania hakuna nchi duniani kwa sasa inayoitwa Tanganyika, ilikuwepo na ndipo nilipotokea mimi, Jee, wewe! Patamu hapo.
 
Ni zaidi ya mwezi mzima tunaendelea kulumbana kuhusu hukumu ya shauri la Dowans ... ninachoshangaa na kujiuliza, je, ni kwanini hao wenye Kampuni hawaendi kusajiri hukumu hiyo Mahakama Kuu kama jinsi inavyotakiwa?

Je, wanapima upepo kwanza?

Dowans inachimba kaburi la CCM ... soon tutalamba pilau ya mazishi.
 
Nimezaliwa Tanganyika, jee wewe umezaliwa Tanganyika au Tanzania? Hisabu miaka yako halafu nijibu. Kwa sasa si Mtanganyika, ni mTanzania hakuna nchi duniani kwa sasa inayoitwa Tanganyika, ilikuwepo na ndipo nilipotokea mimi, Jee, wewe! Patamu hapo.

Hapa kwenye red umeshanipa jibu wewe ni nani..... nimemaliza
 
Sasa Tutamwona Real Owner wa Dowans Holding SA Ajitokeze Kama Kweli Yeye ni Mwanamme. Watanzania Hatutoi Pesa kwa Malipo Mpaka Tujue Maswala Yafuatayo:
  1. Aliopigia Debe au Lobby On Behalf of Dowans Holding Kuingia Mkataba na Tanesco ni Nani?
  2. Dowans Ilisajiliwa Vipi au Tender Process Ilifanikishwa Vipi?
  3. Aliesaini Mkataba na Kukubali Tanesco wa Saini na Dowans ni Nani? (Najua Jibu Rostam, Lowasa na JK Hawakosi)
  4. Alichukua Uamuzi wa Kwenda ICC Badala ya Kuchallange Validity ya Mkataba wa Tanesco na Dowans ni Nani (Najua Jibu JK na Rostam wapo hapa)
  5. Utaratibu Gani Ulitumika Kumpata Arbitrator wa Kuwakalisha Chini Tanesco na Dowans?
  6. Sababu Gani JK Kakaa Kimya ICC Ilipotoa Maamuzi?
  7. Kwanini Baraza la Mawaziri Alihusishwi Kabla ya Maamuzi ya Mwisho? (Hii Process ya Malipo Inafanyiwa Ikulu)
  8. Kwanini Wizara ya Nishati na Madini na Tanesco Wana Harakisha Kuwalipa Dowans Wakati Bei ya Umeme Imepanda na Pia Hakuna Umeme Wakutosha?
  9. Kwanini Serikali Inalipa Kipaumbele "Dowans" Wakati Wastaafu Wengi Hawajalipwa Miaka Mingi Sasa na Pia Wizara Nyingi Hakuna Pesa (Elimu na Afya)? Serikali Inatoa Wapi Pesa?

Maswali matamu sana haya!
 
Ukisikia mawakili pumba ndio hao. Kesi imeamuliwa ICC na mahakama ya hapa ni kusajili maamuzi, wangepinga huko ICC na si hapa, mahakama ya Tanzania haina mamlaka ya kufuta maamuzi ya ICC.

Wanajitafutia umaarufu lakini hawana kesi ya kushinda katika hili. Wangeshinda ingekuwa tu Dowans hawatimiza masharti ya mkataba.

The only way out ni kutangaza kuwa hatuwalipi Dowans na kuwalipa chini ya uvungu. Otherwise ya LONRHO na Nyerere yatajirudia.
unatafutwa na madokta wa mirembe, ati ulitoroka kabla hujamaliza tiba @#%x*??!#$
 
Kwa ufupi ni kuwa endapo Dowans watalipwa kama ilivyoamuriwa na serikali ya JK; na wakalipwa na ikajulikana wamelipwa fedha hizo basi Sitta na Mwakyembe watapaswa kujiuzulu nafasi zao katika Baraza la Mawaziri mara moja. It is as simple as that.
 
wewe zombe

mbona umekubali kununuliwa kwa bei ndogo kiasi hicho kutetea kila ovu la serikali huoni aibu?

Hakuna alininunuwa ila kama hatuna ukweli kwenye nyoyo zetu hatutoweza kuendelea kwa kujidanganya, lazima tuwe realists na kutazama ukweli uko wapi.

Kwa hili la Dowans ukweli ni kwamba, Dowans wamefanya kazi waliyokubaliana na Tanesco na piga uwa utawalipa tu, kama huwalipi, hutatuwi tatizo itazidisha. Hakuna kampuni duniani itaingia tena mkataba na wewe, kwani inajuwa itakuwa hailipwi. Na hiyo itashinikizwa na ICC, utakuwa kwenye cold list.

Ukiyajuwa hayo, utaona, bora ulipe kuliko kujitenegezea matatizo yatakayo kugharimu kuliko haya.

Sasa wanaopiga debe Dowans isilipwe ndio hao waliopiga debe mkataba uvunjwe. Matokeo ndio haya. Na kila mtapodhani kutolipa ni ushindi, mjuwe mnajidanganyan mnajiongezea matatizo.

And we dare say we are "great thinkers", mashudu.
 
Dr. Mwakiembe ni populist leader na very flamboyant when it comes to public interest sometimes mpaka anakuwa sensesional.
Wajameni nimeisoma hukumu ya ICC, ilichofanya ni kuidhinisha tuu vipengele vya mkataba ambao walikubali uamuzi wake ni wamwisho, hauna rufaa wala hauhojiwi na mamlaka yoyote!.

Pasco pamoja na uelewa wangu mdogo wa sheria lakini nnakumbuka vizuri kipengele kinachosema hamuwezi kukubaliana kuvunja sheria. Hii maana yake nini? Nni kwamba mfano kima cha chini cha mshahara ni Tshs 90,000.00 Lakini mimi kwa shida zangu tukakubaliana na kusainishana kulipwa Tshs 50,000.00 Halafu say baada ya miaka 5 nikaibuka kukushtaki kunipunja mshahara hakuna mahakama itakayoamuru eti sina kesi kwa sababu tulisainishana. Kifupi ni kwamba mkataba wetu ulikuwa illegal.

Tuje kwenye Dowans, ukiisoma vizuri hoja ya Mwakyembe, objectively na bila ushabiki utagundua kwamba mkataba kati ya Tanesco na Dowans ulikuwa illegal, simply kwa sababu Dowans ni kampuni ya kitapeli na hilo lilithibitishwa na kamati ya bunge yeye akiwa mwenyekiti. Sasa sijaelewa hapo upopulist uko wapi. Please nieleweshe.
 
Tukisoma Taratibu Zenyewe za ICC Tunaona Kwamba Serikali ya JK na CCM Wamevunja Sheria za Tanzania na Kudharau Mahakama Kuu ya Tanzania. Tusome Hapa Chini Kutoka Website ya ICC:

Often the parties are from markedly different national, cultural and legal backgrounds.
They want to avoid litigation because they fear bias by national courts, are unfamiliar with national court procedures and want to be spared damaging publicity. ICC arbitration is an attractive alternative because it is international and confidential. Usually, it is less time-consuming and less expensive than litigation.

he Court organizes and supervises your arbitration and helps in overcoming obstacles. It does not itself resolve disputes, a task that is carried out by independent arbitrators. The Court makes every effort to ensure that the award is enforceable in national courts if need be, although in practice the parties usually comply

Under ICC Rules, the parties can choose the arbitrators, the place of arbitration and which rules of law should apply. They can even indicate a target date for completing the arbitration and estimate approximate costs in advance in full confidence that the Court will exercise control over the choice of the arbitrators, over the procedure, over the costs and over the award

Ukisoma Yote Haya Tutaona Jinsi Gani JK na Rostam Wametuchezea Ngoma Watanzania. Wanafikiri Hatujui Jinsi ya Kuresearch na Kupata Information Sahii. Huu Ndio Mwisho wa CCM na JK...

Given that what you have writen is true, and I believe it's true, Serikali ikiwalipa mafisadi papa wahusika kupitia kampuni hii hewa, bila ridhaa ya bunge, wananchi tutaipindua nchi yetu na kufanya alichokifanya Jerry Rawlings kule Ghana (aliwaua mafisadi wote).

Watanzania tumechoka na tunasema sasa basi!
 
katika sheria za biashara mmliki wa biashara na biashara ni vitu viwili tofauti hivyo dowans inaweza kuishtaki serikali endapo ni kampuni halali ila kwa kuwa sio halali haipaswi kwenda kuomba fidia kwani mkataba ule ni void
 
Sasa wanaopiga debe Dowans isilipwe ndio hao waliopiga debe mkataba uvunjwe. Matokeo ndio haya. Na kila mtapodhani kutolipa ni ushindi, mjuwe mnajidanganyan mnajiongezea matatizo.

Mkuu huu ni upotoshaji makusudi kabisa nnachokumbuka kilichokuwa kikipingwa ni ununuzi wa mitambo ya Dowans na si masuala ya kuvunja mkataba. Yaani inakuwa kama haya mambo yalitokea mwaka 60, wakati ni juzi juzi tu. Enywayz unaweza kuja na nukuuya gazeti lolote likiwa na taarifa ya Sitta au Mwakyembe kusisitiza kuvunja mkataba kati ya Tanesco na Dowans?
 
Back
Top Bottom