Juu mzigo ndani wasafiri wamejaa kibao hii ndio bongo jamanI?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,319
33,125
sita......jpg
 

Haya mabasi miaka michache iliyopita ilikuwa mtindo mmoja kwenda kwa mbele na hakukuwa na ajali za kuua kama inavyortokea mabasi ya leo ambayo yameandaliwa kwa kuhimili vishindo. Tungekuwa bado na aina hii kwa babsi ya miendo ya mbali ingekuwa hadithi zaidi ya hii ya sasa kuhusu ajali.
 
jamani basi ngoja nikupigie picha basi moja la king cross hili linatoka iringa kwenda mtera utachoka manakke hadi mbuzi wanapakiwa ndani ya basi. hiyo mizigo ya pakacha za karanga na ufuta usipime manake uzito wake tu unatosha kabisa kuzidi mizani basi mkifika pa kupima mizani mnashuka kabisa ili msizidi kilo na wengine wanasogea mbele wanachuchumaa. chezeya mbongo kwenye kusaka ngawira weye.............
 
Mkuu mbona hilo pouwa sana tu?there are worst case scenarios mkuu,ndani mbuzi,kuku everything,halafu huwezi amini watu wameridhika na wanaichaguwa ccm over and over again.
 
Hivi si bora tungefia kwenye harakati za kuitetea nchi yetu inayoliwa na waliopewa dhamana kuliko kufa kwenye ajali za kizembe kama hizi za meli na magari kila kukicha?
 
MziziMkavu mbona hiyo cha mtoto
Nenda huko meatu au maswa ukutane na magari siku ya mnada au sokoni utashangaa
hiyo ni cha mtoto sana wala haitishi
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu, enzi za Kituo cha mabasi Mnazi Mmoja n Kisutu mizigo ilikuwa zaidi ya hivi. Hasa kwa yale mabasi yaliyokuwa yakienda mikoa ya nyanda za juu kusini.
 
Last edited by a moderator:
jamani basi ngoja nikupigie picha basi moja la king cross hili linatoka iringa kwenda mtera utachoka manakke hadi mbuzi wanapakiwa ndani ya basi. hiyo mizigo ya pakacha za karanga na ufuta usipime manake uzito wake tu unatosha kabisa kuzidi mizani basi mkifika pa kupima mizani mnashuka kabisa ili msizidi kilo na wengine wanasogea mbele wanachuchumaa. chezeya mbongo kwenye kusaka ngawira weye.............
...umenikumbusha mbali sana...afu kuna ile kitu inaitwa "vitu laini"..sijui inakwendaga wapi...ni noma nayo..inakula mzigo wa kufa mtu!!
 
Hapo mbona kama stendi ya babati, magari ya kwenda kiru, bashnet, dongobesh, dareda, quatabradish, hirbadaw, balangdalalu, Garawjaw, Basodesh........ kawaida sana.
 
kijijini kwetu hakuna hata hilo basi ni Punda ndio anakuwa overload.MAISHA BORA KWA KILA MTz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom