Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
kunyumba kabisa Preta, Yuegen alikuwa bfrd wa frnd wangu, nilishawaona mara nyingi na huyo dada yake, afadhali ameokoa jahazi mana alikuwa anaelekea pabaya, bado handsome? nawafahamu sana hawa majamaa....na Banjoo sasa hivi anajishughulisha na nini na kale kamwili kapata pata hata nyama jamani.
aah wapi...keshajichokea.....siku hizi kuna ma-underground kibao wakali balaa.....hata kina Elisante Mwenda hawavumi tena sijui kama wamo....Banjoo sijabahatika kumuona toka atoke selo...will update