Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,965
- 10,460
Huyu si ndio yule aliyefungwa kwa ujambazi?kweli MAGAMBA yameishiwa yani yanataka kusimamisha JAMBAZI lakini sina hofu na machalii.
Ndio huyu huyu!
Unashangaa nini? Yeye na wenzake hawana tofauti, wote majambazi, ila wanatofautiana mbinu tu za ujambazi huo. Kama wamempa udiwani watashindwaje kumteua kugombea ubunge hao magamba?