Just now. ajali uhasibu

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
hizi trafiki light hapa vipi? Wahusika wamelala? Uhasibu ya hapa karibu na uwanja wa taifa
 
Nashangaa sehemu hii hatari kabisa trafic police hawataki kuongoza magari (taa mara nyingi haziwaki hapa) lakini sehemu sizizo hatari na zenye taa wakati wote ndio wako kimbelembele kuongoza magari....nadhani wanafaidika na ajali za hapo maana kwa siku si chini ya tatu................
 
Nashangaa sehemu hii hatari kabisa trafic police hawataki kuongoza magari (taa mara nyingi haziwaki hapa) lakini sehemu sizizo hatari na zenye taa wakati wote ndio wako kimbelembele kuongoza magari....nadhani wanafaidika na ajali za hapo maana kwa siku si chini ya tatu................

Yaani wao wanangoja mgongane ndio wanakuja!
 
maeneo ya huko ni makazi ya walalahoi,hivyo hakuna kipaumbele....njoo sealander au pale stanbic ubalozi uone traffic makwapa yanavyowatoka jasho kuhakikisha wanene wanaflow na ndinga zao kwenda makazini au kurudi maskani
 
hizi trafiki light hapa vipi? Wahusika wamelala? Uhasibu ya hapa karibu na uwanja wa taifa
toka mwaka uanze hiyo ni ajali ya 60+ trafiki lights haziwekwi hao sababu hazijulikani...ukivuka mnakuwa kama mnaviziana...sijui wanataka tuandamane kwa vitu vidogo kama hivi?TANROADS wamelala tu hawana habari kabisa...
 
hiyo sehemu,na ile ya serengeti, ina mvutano na mabosi wa free mason kwani ni sehemu zao za kutolea kafara. zile taa zilishawahi kuwashwa lakini hazikuchukua mda mrefu zikazimwa hadi leo hii.
 
maeneo ya huko ni makazi ya walalahoi,hivyo hakuna kipaumbele....njoo sealander au pale stanbic ubalozi uone traffic makwapa yanavyowatoka jasho kuhakikisha wanene wanaflow na ndinga zao kwenda makazini au kurudi maskani

haaah haaah then licha ya trafiki panakua na polisi mpaka nane hapo hapo njia panda ya obay na smg zao cjui hata wanamlinda nani.
 
Nashangaa sehemu hii hatari kabisa trafic police hawataki kuongoza magari (taa mara nyingi haziwaki hapa) lakini sehemu sizizo hatari na zenye taa wakati wote ndio wako kimbelembele kuongoza magari....nadhani wanafaidika na ajali za hapo maana kwa siku si chini ya tatu................

na kwa nini kila mara umtegemee askari? ipo siku mtagongana mbele ya askari. badiliken, haraka ya nini mjini?
 
maeneo ya huko ni makazi ya walalahoi,hivyo hakuna kipaumbele....njoo sealander au pale stanbic ubalozi uone traffic makwapa yanavyowatoka jasho kuhakikisha wanene wanaflow na ndinga zao kwenda makazini au kurudi maskani

Hata pale uhasibu wapo wanakaa kwenye kibanda walichojengewa mtandao wa simu (sikumbuki kama ni voda au tigo). Ni kama wanasubiriaga ajali kwani hawatoki bandani hadi ajali itokee.
 
Nashangaa sehemu hii hatari kabisa trafic police hawataki kuongoza magari (taa mara nyingi haziwaki hapa) lakini sehemu sizizo hatari na zenye taa wakati wote ndio wako kimbelembele kuongoza magari....nadhani wanafaidika na ajali za hapo maana kwa siku si chini ya tatu................
Inawezekana ni mradi wa hao wavaa sanda nyeupe. Kwa Tanzania hamna kitu cha kushangaza tena. Kila kitu kinawezekana.
 
Hata pale uhasibu wapo wanakaa kwenye kibanda walichojengewa mtandao wa simu (sikumbuki kama ni voda au tigo). Ni kama wanasubiriaga ajali kwani hawatoki bandani hadi ajali itokee.

wamejengewa na mtandao wa vodacom kazi yao ni kusubiria ajali na malori yanayo toka na yanayo kwenda bandarini ili wapige pesa
 
na bado tunaendelea kuipigia na kuishangilia ccm ya Kikwete.. This is so sad i dont know why hatuamki bado labda hadi tupigwe bakora ndio tutaamka sisi watanzania ama wadanganyika
 
hizi trafiki light hapa vipi? Wahusika wamelala? Uhasibu ya hapa karibu na uwanja wa taifa

manispaa ya temeke hailipii imeme wa kwenye mataa hata ule wa barabarani. Temeke nzima hamna sehemu ambapo taa za barabarani zinawaka. wenzao Ilala wameweka umeme wa solar power kwenye mataa lakini temeke wameshindwa kabisa. Ndo maana tunataka ccm itoke madarakani. Sijui watu wanapo kufa ndo wanafurahi!?. hapo uhasibu wewe dreva ndo inabidi uwe traffic pia. mia
 
Back
Top Bottom