Wadau habari zenu,
Kwa muda mrefu nimekuwa nikiperuzi kurasa mwanana za jamiiforums.
Naomba nikiri pia nimekuwa nikitumia nondo(facts) zinazokuwa poured humu ndani sehemu tofauti tofauti na kujipatia credibility ya hali ya juu.
Sasa,ni wasaa mzuri nami kujiunga ili wengine pia wanufaike na michango yangu,namimi nijifunze zaidi..
I guess im welcomed whole-heartedly,am i not?
Kwa muda mrefu nimekuwa nikiperuzi kurasa mwanana za jamiiforums.
Naomba nikiri pia nimekuwa nikitumia nondo(facts) zinazokuwa poured humu ndani sehemu tofauti tofauti na kujipatia credibility ya hali ya juu.
Sasa,ni wasaa mzuri nami kujiunga ili wengine pia wanufaike na michango yangu,namimi nijifunze zaidi..
I guess im welcomed whole-heartedly,am i not?