Watawala kuweni serious na ishu za kitaifa, historia ni mwalimu mzuri sana, kama mtakumbuka wakati wa wimbi la vibaka hasa mjini Dar es Salaam, kila kibaka akikamatwa na kufikishwa polisi kesho unamkuta mtaani akiendelea kupora watu, wnanhi wakachoka kila kibaka alipokamatwa hakupewa fursa ya kufikishwa polisi anahukumiwa kwa kupigwa mawe na kuchumwa moto.
kwa maamuzi ya Vilaza kama Pro-confuser mkandara, msistaajabu kuona watanzania kuchoshwa na kuanza kuwapiga mawe na kuwachoma moto, hili linawezekana msiseme mimi ni mchochezi.
kwa maamuzi ya Vilaza kama Pro-confuser mkandara, msistaajabu kuona watanzania kuchoshwa na kuanza kuwapiga mawe na kuwachoma moto, hili linawezekana msiseme mimi ni mchochezi.