Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Just imagine. baada ya Rostam kutangaza kujivua gamba na kuamua kujitangaza wazi kwamba hata ubunge amejiuzulu. lkn tume ya uchaguzi hasa mzee kiravu ambae anasifika kwa kutoa taarifa za haraka amekumwa kimya.na inasemekana hata maoni tu kutoa hataki . tunaamini kiravu anangoja barua rasmi kutoka kwa CCM au Rostam ndio atanagazaje Jimbo kuwa wazi
Lkn swala hapa dogo tu.
kwa mfano Kauli hiyo ya kujiuzulu kwa ubunge kungalitokea ndani ya vyama vya Upinzani hasa mbowe, lissu, zitto, Akilimali, kafulilla. jeee mzee kiravu asingekuwa Jino nje?
Lkn swala hapa dogo tu.
kwa mfano Kauli hiyo ya kujiuzulu kwa ubunge kungalitokea ndani ya vyama vya Upinzani hasa mbowe, lissu, zitto, Akilimali, kafulilla. jeee mzee kiravu asingekuwa Jino nje?