Hawa Waspanish hata mimi siwafahamu. Nawaje TZ wacheze na Nyati!
haaaaaa......yule bwana muone vile vile......yani kuona jina tu nimedondoka......tena waje wacheze na mbogo.....
ila.....huyo ng'ombe hauwi....mbona kama anawagonga sana......?
haaaaaa......yule bwana muone vile vile......yani kuona jina tu nimedondoka......tena waje wacheze na mbogo.....
ila.....huyo ng'ombe hauwi....mbona kama anawagonga sana......?
Same here!Sijaona kitu jamani
Ng'mbe huwa wanaua Preta, na kuwaacha watu na vilema vya maisha, lakini wanadai ni utamaduni wao. Pia tayari watetezi wa haki za wanyama wanalivalia njuga kiasi kwamba Barcelona imeshapitishwa bungeni kwao kuwa huo mchezo katika eneo hilo ni marufuku.haaaaaa......yule bwana muone vile vile......yani kuona jina tu nimedondoka......tena waje wacheze na mbogo.....ila.....huyo ng'ombe hauwi....mbona kama anawagonga sana......?
Tafauti ya mchezo wanaocheza Wapemba na huu, ni kuwa ule wa Pemba uliletwa na Wareno, ambapo ng'ombe hauliwi; lakini huu wa Spain baada ya mchezo ngo'mbe huchinjwa na mchezaji mahiri huzawadiwa masikio kama "kombe" lake.....huu mchezo unafanana na ule wanaocheza wapemba kule znz...ingawa spain hasa madrid na hata mexico wanacheza sana...
Ng'mbe huwa wanaua Preta, na kuwaacha watu na vilema vya maisha, lakini wanadai ni utamaduni wao. Pia tayari watetezi wa haki za wanyama wanalivalia njuga kiasi kwamba Barcelona imeshapitishwa bungeni kwao kuwa huo mchezo katika eneo hilo ni marufuku.
Tafauti ya mchezo wanaocheza Wapemba na huu, ni kuwa ule wa Pemba uliletwa na Wareno, ambapo ng'ombe hauliwi; lakini huu wa Spain baada ya mchezo ngo'mbe huchinjwa na mchezaji mahiri huzawadiwa masikio kama "kombe" lake.