Jussa na Zanzibar huru, ndani ya CNN - Inside Africa

Nilichokinotisi kutoka kwa Jussa, analitumia vibaya neno muungano/union. Anaposema muungano nafikiri lazima angekuwa anataja neno mpaka mwisho.

1. Muungano usio wa jamhuri/states
2. Muungano wa jamhuri/states
Akisha chagua neno moja kati ya hapo juu nadhani ataweza vizuri kudefend hoja zake.

Mfano muungano wa jumuia ya ulaya ni muungano usio wa jamhuri ni muungano mwepesi mwepesi tu kwa mambo mepesimepesi, na ndiyo mfano nchi fulani inaweza kuruhusiwa kuingia lakini wananchi wake hawaruhusiwi kufanya kazi bila working permit. Ni muungano ambao ni kama ambavyo watanzania wanaiingia afrika kusini bila viza.
 
AllyZenj,

..EAC siyo muungano, bali ni JUMUIYA.

..ndiyo maana wengine tunasema Jussa is not being 100% honest.

..yeye aseme wazi tu kwamba tutakuwa na mikataba kadha wa kadhaa, na siyo kuleta dhana potofu kwamba kuna kitu kama "muungano wa mkataba."

..Off course sisi ni ndugu, lakini wenzetu wa Zanzibar mna ubinafsi mno. Kwa mfano kuna mwakilishi alikuwa analalamika kwamba wa-Tanganyika wanakwenda Zanzibar kuuza dawa za mbu. Sasa labda tuulize: je, hiyo siyo shughuli halali huko Zanzibar? Zaidi, kama Zanzibar haiwezi ku-attract wafanyabiashara wakubwa, au wataalamu toka Tanganyika, je ni nani wa kulaumiwa? Pia mbona hakusema kuhusu mishahara na umeme wa bure ambao wa-Tanganyika huwapa wa-Zanzibari?
Mkuu Joka kuu, hilo neno jumuiya hawalitaki kwasababu litawaelekeza kwenye EAC.

Kwanini tuwe na mkataba na ZNZ? Kwa vile wanataka kiti UN na EAC kwanini basi tusikutane huko kama nchi huru.
Na kwanini ZNZ wanaanza kusema sisi ni ndugu wakati wanafahamu kuwa hakuna ndugu anayemchoma moto nduguye.
Hili neno ndugu life, sisi ni majirani kama Rwandwa na Burundi.

Ninachojiuliza kwanini hawa wamekazania kuwa na mkataba na Tanganyika wala siyo Kenya au Comoro.
Tunachopaswa kuwaambia ni kuwa vunjeni muungano, tutashirikiana kama tunavyofanya na Msumbi au Malawi kupitia MoU.

Tumewashika mahali pa baya hawana ujanja. Wao ni sehemu ya Tanganyika kiuchumi kisiasa na kiutamadani WATAKE WASITAKE. Wataendelea kuwa katika kivuli cha Tanganyika by chance, default or otherwise.

Mkataba wa kuwabebesha Watanganyika mzigo mwisho Chumbe! Koti limewabana wanatakiwa walivue, sio walivue halafu wamkabidhi Mtanganyika mzigo wa kulibeba.

LET ZNZ GO! MKATABA MWISHO CHUMBE
 
Jusa ni kidume cha mbegu na nitumani kwa wazenji, tumuunga mkono tupo pamoja nae.:lol:
Kidume wakatihawezi kutamka neno vunja muungano amebaki kubwabwaja upuuzi usio na mantiki.
Kidume asiyeweza kutaja muungano wa mkataba hata mmoja.

Of course kwa kiwango cha ZNZ ni kidume, lakini udume wake mwisho Chumbe!
Unadhani sisi sote ni WZNZ wanaofundishwa cha kusema na Jusa, Maalim Seif na Ahmed. Sisi tulishamfiukuza Mkoloni, Sultani mwisho Chumbe!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Nguruvi3, AllyZenj,

..halafu kama umemsikiliza kwa makini Jussa kuna wakati anazungumzia MIKATABA.

..sasa sijui tutakuwa na "miungano ya mikataba" au tutakuwa na "muungano wa mikataba."

..Jussa awe mkweli tu, ili wananchi waweze kujipanga na kujiandaa kisaikolojia kwa huko anakotaka kuwapeleka.
 
Last edited by a moderator:
Kwa CUF msimamo mmoja na ndio Lipumba anaunga mkono. Na ndio maana kwenye facebook vijana wa CUF wanahimiza hilo. Yanakukereni nini ya Zanzibar?
 
Nguruvi3, AllyZenj,

..halafu kama umemsikiliza kwa makini Jussa kuna wakati anazungumzia MIKATABA.

..sasa sijui tutakuwa na "miungano ya mikataba" au tutakuwa na "muungano wa mikataba."

..Jussa awe mkweli tu, ili wananchi waweze kujipanga na kujiandaa kisaikolojia kwa huko anakotaka kuwapeleka.
Unajua hawa Wana wa Sultani wanachoogopa ni kuwa WZNZ walala hoi 350,000 watakaporudi ZNZ itatokea nini?
Wanaogopa kuwa viongozi wote wa serikali ya muungano kutoka ZNZ wakirudi Jusa hata ukatibu kata hapati.

Ni upuuzi wa hali ya juu kusema wanataka uhuru kamili wakati huo huo wanataka mkataba.
Mkataba wanaoutaka ni wa nini? Hawasemi wamebabki kung'ang'ania Tanganyika.

Akina Almaarufu Nonda, Ustadhi Baru baru na Mstahiki Takashi kwa kipindi cha miaka zaidi ya miwili hapa JF wamekuwa wakilalamika kuwa muungano unawabana waachwe wapumue, sasa kupumua kutawezekana vipi ukiwa na mkataba?
Ni nani anag'ang'ania muungano Tanganyika au Wao.

Tunachosema hapa ni kuwa Tanganyika iwe macho hawa watu wanaotaka mkataba ili
1. Wapate soko la ajira na biashara kitu kisichomsaidia Mtanganyika hata kidogo.
Mkataba na watu laki 300 maana wengine wote wameshakimbia na nusu wapo Tanganyika unatusaidia nini.

2. Wapate umeme wa buree ili waendelee kucheza bao huku watoto wao wakisomeshwa kwa kodi za mkulima wa Kipera, Malinyi, Nantumbo, Nyumbani Mkuzi na Mabokweni, Kashozi na Katavi.

Tunachotaka ni ZNZ huru tukautane EAC, EU n.k. Tuacheni tupumue tumechoka kubeba mizigo.

LET ZNZ GO! KOTI LIMEWABANA WALIVUE NA KULIBEBA SI KULIWEKA KATIKA MFUKO WA RAMBO WENYE JINA MKATABA.

Tuacheni tupumue Tanganyika, Mkataba wa Jusa na Waarabu mwisho Chumbe!
Mznz akikanyaga Tanganyika, anavua ujuha na ujusa, anatanguliza heshima Mbele!
 
Unajua hawa Wana wa Sultani wanachoogopa ni kuwa WZNZ walala hoi 350,000 watakaporudi ZNZ itatokea nini?
Wanaogopa kuwa viongozi wote wa serikali ya muungano kutoka ZNZ wakirudi Jusa hata ukatibu kata hapati.

Ni upuuzi wa hali ya juu kusema wanataka uhuru kamili wakati huo huo wanataka mkataba.
Mkataba wanaoutaka ni wa nini? Hawasemi wamebabki kung'ang'ania Tanganyika.

Akina Almaarufu Nonda, Ustadhi Baru baru na Mstahiki Takashi kwa kipindi cha miaka zaidi ya miwili hapa JF wamekuwa wakilalamika kuwa muungano unawabana waachwe wapumue, sasa kupumua kutawezekana vipi ukiwa na mkataba?
Ni nani anag'ang'ania muungano Tanganyika au Wao.

Tunachosema hapa ni kuwa Tanganyika iwe macho hawa watu wanaotaka mkataba ili
1. Wapate soko la ajira na biashara kitu kisichomsaidia Mtanganyika hata kidogo.
Mkataba na watu laki 300 maana wengine wote wameshakimbia na nusu wapo Tanganyika unatusaidia nini.

2. Wapate umeme wa buree ili waendelee kucheza bao huku watoto wao wakisomeshwa kwa kodi za mkulima wa Kipera, Malinyi, Nantumbo, Nyumbani Mkuzi na Mabokweni, Kashozi na Katavi.

Tunachotaka ni ZNZ huru tukautane EAC, EU n.k. Tuacheni tupumue tumechoka kubeba mizigo.

LET ZNZ GO! KOTI LIMEWABANA WALIVUE NA KULIBEBA SI KULIWEKA KATIKA MFUKO WA RAMBO WENYE JINA MKATABA.

Tuacheni tupumue Tanganyika, Mkataba wa Jusa na Waarabu mwisho Chumbe!
Mznz akikanyaga Tanganyika, anavua ujuha na ujusa, anatanguliza heshima Mbele!

Hehe he he
Wakishindwa kulibeba koti nawalitupe. Hakuna cha mkataba, wao waondoke hivi unataka uhuru unaupata na bado baada ya uhuru unaiingia mkataba na mkoloni tena?
 
AllyZenj,

..EAC siyo muungano, bali ni JUMUIYA.

..ndiyo maana wengine tunasema Jussa is not being 100% honest.

..yeye aseme wazi tu kwamba tutakuwa na mikataba kadha wa kadhaa, na siyo kuleta dhana potofu kwamba kuna kitu kama "muungano wa mkataba."

..Off course sisi ni ndugu, lakini wenzetu wa Zanzibar mna ubinafsi mno. Kwa mfano kuna mwakilishi alikuwa analalamika kwamba wa-Tanganyika wanakwenda Zanzibar kuuza dawa za mbu. Sasa labda tuulize: je, hiyo siyo shughuli halali huko Zanzibar? Zaidi, kama Zanzibar haiwezi ku-attract wafanyabiashara wakubwa, au wataalamu toka Tanganyika, je ni nani wa kulaumiwa? Pia mbona hakusema kuhusu mishahara na umeme wa bure ambao wa-Tanganyika huwapa wa-Zanzibari?
Mbona husemi kuwa Nyerere baada ya muunganoa lichukua majenerator ambayo yalikuwa yaki oparate zanzibar ya kuzalisha umeme na kupeleka tanganyika,vifaa vya ulinzi,ndege,unajua zanzibar ilikuwa na fedha zake katika jumuiya ya mashariki na kutumbukizwa katiba BOT,asilimia 11 lakini mgao munatupa 4.5

Wacha hayo,umeme hatupewi bure tunalipia,ushahidi upo,ukiwacha hivyo,watalii wanao kuja zanzibar wanachukua visa dar es salaam wakija zanzibar ni entry tu,jee zile fedha vipi ?

Wacha hilo Munapoja njee kuomba omba munakuja mikono mirefu na kuomba misaada na kuiwakilisha zanzibar kupewa minofu ya fedha zikiingia za kwenu ? Huoni hilo ?

Katika bank kuu kuna asilimia 6.5 ambayo kuanzia toka kuasisiwa muungano,hamujatupa hadi leo una juakiasi gani sasa tunawadai ?

Subiri tuvunje muungano tutahesabiana hakuna tatizo.
 
Honestly muungano na wazenji umeshaniboa, tupigane chini tu kila mtu asonge kivyake hawa jamaa ni wachoyo na waroho. Walipoona uwezekano wa kupata mafuta harakaharaka wakadai yasiwe ya muungano sasa wanataka mkataba hili wanufaike na gesi,umeme na sehemu ya biashara zao,no time to waste piga chini wala urojo hawa.
 
Mkakati huu wa kujitenga uilianza muda mrefu:wimbo wa taifa ,bendera,chama cha mpira kuomba uanachama wa FIFA,namba za magari,Bodi ya kodi tofauti,[cha kwetu kina kuwa cha Wote,lakini chakwao ni chao tu.!!!,LAKINI umeme tuchangie,mapato ya madini tugawane lakini inapokuja suala la mafuta eti ni yao tu na wako tayari TUJITENGE na tuvunje MUUNGANO,
Hii ni "simple mind" hapa kuna UNAFIKI.!!!
Hata muafaka wa KARUME na SHARIFF HAMAD,walichoongea mpaka leo hakijawekwa HADHARANI.!!!
 
Jusa kama ana akili zilizokaa timamu athubutu kutamka kwamba hawataki muungano. Mbona juzi alipokuwa anatoa maoni mbele ya tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya alishindwa kulisema hilo la kutaka Zanzibar iwe nchi huru na kuishia kujing'ata ng'ata na wimbo wake wa mikataba ambayo alishindwa kuielezea japo kutoa mfano.

Siku zote nasema sisi hatunufaiki chochote na zanzibar kwahiyo hata wakijitoa kwenye muungano hatutapata hasara yoyote.

Kama kweli wanajiamini watangaze rasmi kusudio la kuvunja muungano, taratibu za kufanya hivyo wanazifahamu lakini wanazihepa kwa makusudi lakini utashangaa wazanzibari wanapelekwa tu kitutusa bila kuwauliza huo muungano wa mkataba wanaousema ukoje!?
 
Jusa kama ana akili zilizokaa timamu athubutu kutamka kwamba hawataki muungano. Mbona juzi alipokuwa anatoa maoni mbele ya tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya alishindwa kulisema hilo la kutaka Zanzibar iwe nchi huru na kuishia kujing'ata ng'ata na wimbo wake wa mikataba ambayo alishindwa kuielezea japo kutoa mfano.

Siku zote nasema sisi hatunufaiki chochote na zanzibar kwahiyo hata wakijitoa kwenye muungano hatutapata hasara yoyote.

Kama kweli wanajiamini watangaze rasmi kusudio la kuvunja muungano, taratibu za kufanya hivyo wanazifahamu lakini wanazihepa kwa makusudi lakini utashangaa wazanzibari wanapelekwa tu kitutusa bila kuwauliza huo muungano wa mkataba wanaousema ukoje!?
Mwita Maranya, si kuwa wanazihepa bali hawajaweza kutamka neno TUNATAKA KUVUNJA MUUNGANO! Hakuna hata mmoja, si Jusa, Maalim au Ahmed achilia mbali wagema na wavuvi wanaosubiri kwaya.

Jeuri ya miaka yote ilikuwa kutikisa kibiri, safari hii kimejaa! wana ha ha kulia na kushoto.
Tunawasubiri tu, wakiendelea na huu upuuzi wa mkataba, tutawauliza KWANI ZNZ NI AKINA NANI KATIKA MAISHA YETU kiasi cha kutuamulia aina ya mahusiano.

Wao wana option ya MKATABA kwanini wasifikirie yetu.
Wanajua kabisa Tanganyika haihitaji ZNZ hata kwa bahati mbaya! Kwa lipi la maana Tanganyika inawaahitaji.
Wao waondoke wamrudishe Sultan shauri yao.

Jambo moja wakae wakijua. Siku muungano ukifika tamati the next morning wanarudi kwao maana watakuwa na kiti UN tayari. Wanabeba mabegi tu, na kuiacha Tanganyika! Hilo walijue mapema maana tusijelaumiana!
 
Jusa ni kidume cha mbegu na nitumani kwa wazenji, tumuunga mkono tupo pamoja nae.:lol:

Nitaamini unayosema kama yeye Jussa atapeleka muswada BLW ili mchakato wa kupata 'uhuru kamili' uanze. Tofauti na hapo ngonjera!
 
Jussa na Jaji Warioba. kuanzia dakika ya 8.

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom