Jussa na Seif mnawachelewesha Wazanzibari kuwa "huru kamili"!

Seif Sharrif na Jussa wasikie vizuri sana;tupo ambao hatutaki Muungano "wa mkataba"! Kama wao na wale wanaowashabikia wanaona kweli Tanganyika inawanyonya na wanataka uhuru kamili njia iko rahisi kabisa.

Wawaondoe wabunge wao kwenye Bunge la Muungano; waitishe kampeni ya Wazanzibari wanaotumikia serikali ya Muungano kuachia nafasi zao (akiwemo Ghaib Bilal) na wajitangazie "uhuru wao".

Lakini la kwanza ni kwa yeye (Seif) kuacha ziara za kisiasa Tanzania bara na kuamua kuvunja CUF ili chama cha siasa cha Wazanzibari watupu kizaliwe.

Hapo ndio tutajua kweli wanataka kuwa huru. Watoke kwanza wawe na Zanzibari yao halafu ndio watuulize kama tunataka Muungano wowote na wao! Siyo watoke halafu wakati huo huo waamue aina ya mkataba wanaoutaka wao!


LET ZANZIBAR GO!
Mzee mwanakijiji umenena vyema Seif na Jusa wanatamaa sana wanataka kuvunja Muungano na kutengeneza wa mkata huo mkataba wanautaka na nani? wameshawauliza watanganyika kama wanataka mkataba? hizi ni hadithi za kusadikika naamini watanganyika si wajinga, wao wanataka mkataba ili kulinda rasilimali zao bara wakati watanganyika hawamiliki kitu huko visiwani, Kwa Tanganyika ni marufuku kwa mgeni kumiliki ardhi, na jambo la kwanza wakishavunja muungano katiba itamke kwa herufi kubwa ARDHI NI MALI YA MTANGANYIKA then tuone hawa ndugu zao watabeba haya majumba yao kupeleka znz? si bure wanataka mkataba wameshanusa hili, wanabore sana hawa watu binafsi sioni faida ya huu muungano. mwisho niwapongeze watanganyika wenzangu kwa kukaa kimya katika hili na tusilishabikie ili laana iwatafune wenyewe, wavunje watugawie mbao zetu, kila siku mijadala, ktk redio zao ni kero za muungano, huku wamekaa na kula kwa fedha zinazochumwa tanganyika poor Zanzibarians, niliwahi kuposti hapa ZANZIBAR HAKUNA KIONGOZI MWENYE UTHUBUTU WA KUONGOZA/KUTAWALA VISIWA HIVI BILA TANGANYIKA kwa mawazo na ueledi, wanafitna na chuki sana hawa watu kati yao, tanganyika ni kama inawanutralize siku wakitupa mgongo wanaenda kuuana.
 
seif sharrif na jussa wasikie vizuri sana;tupo ambao hatutaki muungano "wa mkataba"! Kama wao na wale wanaowashabikia wanaona kweli tanganyika inawanyonya na wanataka uhuru kamili njia iko rahisi kabisa.

Wawaondoe wabunge wao kwenye bunge la muungano; waitishe kampeni ya wazanzibari wanaotumikia serikali ya muungano kuachia nafasi zao (akiwemo ghaib bilal) na wajitangazie "uhuru wao".

Lakini la kwanza ni kwa yeye (seif) kuacha ziara za kisiasa tanzania bara na kuamua kuvunja cuf ili chama cha siasa cha wazanzibari watupu kizaliwe.

Hapo ndio tutajua kweli wanataka kuwa huru. Watoke kwanza wawe na zanzibari yao halafu ndio watuulize kama tunataka muungano wowote na wao! Siyo watoke halafu wakati huo huo waamue aina ya mkataba wanaoutaka wao!


let zanzibar go!
kwanza nikushukuru kwa nguvu zangu zote mkuu natamani sana tena sanaaa kuwaona wazanzibari wakiondoka tanzania halafu sasa swala la muungano uwe wa aina gani. Ndio tuanze kujadili muungano tafadhalini sana wakuuu wa kafu fanyani fanyeni mambo tubaki na tanganyika yetu plsssssss ondokeni ondokeni
 
Watupunguzie mzigo watambae mapema iwezekanavyo! Wasikubali manyanyaso wakati hawajafungwa minyonyoro, njia nyeupe kabisa, waende zao... nani anawahitaji?
 
Jussa na Seif Sharif watakuwa wamefanya jambo la mbolea sana kama watasimama na kudai jamhuri huru ya watu wa zanzibar!

Kwa upande wetu zanzibar ni mzigo, hatuwataki!

Let them go!
 
wazanzibar watakuwa huru pale tu raisi wao atakapokuwa hachaguliwa kutoka dodoma. Maadam rais wa smz anachaguliwa dodoma wasahau.
 
Mie naunga mkono siku zote madai ya Waznz kutaka kujitawala (japokuwa waznz wenyewe na viongozi wao hawako serious). Siku zote hapa tumewashauri nini wanapaswa kufanya kama wanataka kuvunja Muungano lakini hatua hizo hawazichukui na badala yake wanaendeleza siasa za majukwaani tu na kelele za bata.

Pili, nawashauri waznz kuwa kama wataamua kuachana na 'mkoloni' wao Tanganyika, basi wakate minyonyoro yote. Yafaa kusema tu kwamba hoja yao ya mkataba sisi watanganyika hatuitaki. Mkataba wa ushirikiano wa nchi huru tunao tayari wa EAC, SADC, AU n.k. Wakishaunda JWZ wafungue ubalozi Dar es Salaam tuendeleze ujirani mwema na ushirikiano katika nyanja tutakazokubaliana. Na wao watakuwa huru kujiunga na miungano mingine ya mikataba kama vile EAC, SADC n.k. na tutakutana huko na kuzidi kushirikiana zaidi.

Hitimisho la mchango wangu ni kwamba, kwa hali tuliyofikia sasa ni dhahiri serikali mbili hazitafaa tena. Pili serikali tatu ni uhuni tu kutaka kugawana vyeo na kutuongezea gharama za uendeshaji bila msingi wowote wa maana. Hivyo basi ni aidha tuwe na serikali moja tu au tuwaachie waznz waunde serikali yao huru ya JWZ na kisha tukutane EAC na kwingineko.
 
Itabidi tuwasaidie tu waweze kutoka kwenye Muungano vizuri. Inakuwaje kutaka kutoka kwenye Muungano watake wao halafu wao hao hao waamue wanataka muungano wa namna gani?
 
Hawa jamaa wa ngangari kazi wanayo, wanajua kwamba ADC wanaweza kubadilisha siasa za zanzibar, na wao kukosa mwelekeo, naona wameshitukia mchezo, nadhani kuja na hili la muungano.. mala kujiuzulu hakutaiponya CUF, subiri kuna mengi yanakuja, CCM Watahakikisha wana kifinance ADC Na hapo ndipo watachanganyikiwa, CUF wajiulize mbona usajili wa ADC umekuwa wa haraka namna hii? kwetu sisi watz hata kesho umevunjwa tutamshukuru rabuka, wazenj wanatunyonya, wakiwa bara ... kwao. sisi tukiwa zenj... wabara hao
 
Precise! Hakuna kumumunya maneno, waende tu.

sie tunahangaika serikali inakaribia kukosea tena, tunajaribu kuwaambia wasianze kuchimba gesi mtwara kabla ya sera za gesi hazikaa sawa wao wanatutoa kwenye kushughulika na haya mambo ya msingi
 
MKUU MMJ, heshima mbele. Naona umeishiwa hoja, hujui hata ulisemalo. Unapapatika tu, kijiba cha roho kimekukaa. Haaa haa haa.

LET ZANZIBAR GOOOOOO! Msitusumbue kwani mnadhani sisi tunauhitaji Muungano...Zanzibar ni mzigo kwa Tanganyika nendeni lakini kikubwa muwaambie viongozi wenu wanaolia hawautaki Muungano waache kuwadanganya wakati bado wanapata maslahi toka Tanganyika....Nendeni bana kwani nini?
 
Nimefikiri nakuona njia ya muongo kama si mnafiki ni fupi, mbali ya kuwa na nafasi nyingi tu za kuwasilisha hoja zao zikawa na uzito stahili tofauti zitolewapo majukwaani lakini hasirani hutoona wakichukua hatua stahiki, wao ni kusema tu huku wakijua wazi hayo ni matamko tu holela na ya kihuni kihuni. Hatujaona nia ya dhati na dhabiti ya kutaka kujitenga iwe kimkataba au vyovyote.
Japo sisi Tanganyika tumetulia tu na hizi chokochoko kwa kuwapa fursa za kujitua mzigo kwakuwa nafasi wanazo za kufanya hivyo, eti itakuwaje tukiwasaidia waondoke kabisa for good
Elizabeth, hata UAMSHO bado wanasisitiza kuwa tuwe na muungano wa mkataba. Kwa maneno mengine HAKUNA mzanzibar aliyetayari kuachana na Tanganyika.
Wanachotaka ni kuwa na mkataba ili mambo yao yasikwame.
Unajua jinsi bajeti ya ulinzi ilivyokubwa, kwasasahivi hawana hiyo. Unajua bajeti ya Elimu ya juu, sasa hivi hawana hiyo n.k.

Wote akina Jusa na Maalimu ni matunda ya Muungano.Wanapofikiri dhiki itakayotokana na kuvunjwa muungano hapo wanarudisha moyo nyuma na kubaki kuuma uma maneno kama mkataba. Kwa kudhani kuwa kila mtu ni mpuuzi au juha kama audience zao wanataja tu mkataba, hawasemi uhusu nini! Maalim anajua tuna mkataba lakini katika jitihada za kutaka kuwafanya Watanganyika wapuuzi kama alivyozoea anataka nasi tuimbe wimbo wake wa kijuha mkataba.

Maalim Seif pigania ZNZ huru, mkataba hatuhitaji na mwisho Chumbe. Upuuzi wa mkataba kaongee na wananchi wa nchi nyingine Tanganyika tunasema, Seif stop! go back to ZNZ!

JF ina watu wema sana na ZNZ lazima ishukuru. Hakuna mbinu hata moja ya kujitoa katika muungano ambayo ZNZ haijapewa. Nondo zote za kisheria na za njia za mkato wamepewa. Hakuna hata mmoja anayethubutu kutumia mbinu hizo. Waoga wamebaki kuongelea katika vichochoro na maskani.

ZNZ inaihiitaji Tanganyika kwahiari au kwa mantiki. Hicho ndicho kinawasumbua akina Seif, kwamba tukiwa nje ya muungano ZNZ itakuwepo lakini dhiki itawaumiza watu sana.

FYI nusu ya WZNZ wanaishi Tanganyika, na narudia tena Hakuna taifa lolote duniani lililobeba WZNZ kwa wingi kiuchumi, kijamii na kisiasa kama Tanganyika!
Hakuna na halitatokea, wakitafakari hayo ndipo tunasikia upuuuzi wa akina Seif na Jusa kutaka ZNZ huru halafu mkataba! too low! utakuwaje huru halafu ujifunge katika mkataba?
Kwanini unataka mkataba nawe unataka uhuru! Hoja zinajengwa bila chembe ya elimu!

Namna ya kuwasaidia sasa ni kumwambia Maalim Seif hatuhitaji aje Tanganyika kisiasa, kama anakuja kutembelea familia zake ok lakini kwenye majukwa aitwe mnafiki mkubwa!

Lipumba na Mtatiro hiyo CUF si ya kwenu ni ya maalimu, acheni mikutano na Maalim huyo ni mnafiki wa kimataifa.
Haamini sera za chama anaamini alichotumwa na Sultan. Msaidieni aitenge ZNZ kwa amani.

Wanajamvi, LET ZNZ GO! hawa watu hawana msaada zaidi ya kelele. LET THEM GO!
Wanachofanya akina Jusa,Seif, Ahmed na wamanga wote ni kucheza ngoma migongoni mwetu.
LET THEM GO!
 
Wanajamvi said:
Umesema yote! Kuna la ziada zaidi ya kuwaangalia wanafiki hawa wakijipiga risasi mguuni? Nini zaidi la kufanya zaidi ya kuwatazama wakifurukuta (japo ni kero) Kweli nataka kuona mwisho itazaa nini? Je tutasukumwa kufungua mbeleko na kuwamwaga watembee wenyewe ilihali hata kutambaa tu hawawezi? Inasubiriwa kuonwa.........
 
Umenena ukweli mtupu, kwa sababu haiwezekani Jussa kutudanganya kuwa amejiuzulu nafasi ya ukatibu wa CUF kwa lengo la kutetea na kusimamia muungano wa mkataba wakati huo huo anaendelea kuwa mjumbe katika baraza la uwakilishi bara! Waachie nyadhifa zao zote ndani ya muungano ndipo wadai Z'bar huru wao nao wakiwa huru!

Jusa yupo baraza la wawakilishi huko Zenj. Hana nafasi bara na hata kama aturudi huku basi tutamzomea na akome na unafiki wake
 
"Kulikuwa na Nchi" - Chinua Achebe akiililia Biafra iliyozimwa na Nigeria!
 
hatuhitaji mkataba wachukue zanzibar yao tunataka Tanganyika yetu ikiwa tupu na ikiwa safi, hatuhitaji ugwadu, tunatosha wenyewe, ndg zetu wakija watatosha ardhi tunayo, wao waondoke kwetu waende kwao wajazane micheweni au mjimkongwe watatosha jamani, wanasema hivyo kwa kuwa wanakula na kushiba
 
Hii inanikumbusha issue ya Issa Ponda Isaa, kuzuia watu wasihesabiwe while yeye mwenyewe anaacha details zake zote home, hi nayo inafanana na huyu mwishiwa!

si bora ponda tunajua kuwa tatizo ni koutoeleimika kwake.. According to mufti hajaenda hata darasa moja; sasa jussa na seif ni wasomi kwa nini wanashndwa kutumia njia walizopewa hapo juu?
 
Back
Top Bottom