ka nchi kadogo,hakana maliasili yoyote(hata sungura pori hawana),kama maji ya bahari tunayo hadi mtwara..let them go,tired of their nuisance!!!
Week iliyopita Maalif Seif alikuja Arusha kwa ndege/gharama za Tanganyika na kuwaambia vijana wanalewa viroba. Jana alikuwa Pemba (ulinzi kwa gharama ya Tanganyika) kuhutubia ni jinsi gani anataka Zanzibar huru na kuachana na koloni Tanganyika. Kesho Jumanne tunaambiwa atakuwa Bukoba (Tanganyika).
Hivi Maalim Seif anaamini anachosema? Afuatafuata nini Tanganyika? Kwanini asikae chini na kuandaa muswada wa kuachana na koloni? Chama chake (CUF) kina wabunge wengi toka toka Zanzibar kwenye bunge la Muungano, asiwapoge marufuku kuja Dodoma?
Nguruvi3,MM, wanataka ZNZ huru wakiwa na 'strings attached' yaani muungano wa mkataba.
Hapo ndipo ninaposema Maalim na Jusa wanauma maneno na sijui kama Wazanzibar wanjaua nini wanataka.
Jusa ni mbunge, kwa vile amejiuzulu uongozi wa CUF ili kuimarisha juhudi za ZNZ huru anapaswa pia ajiuzulu ubunge katika bunge la JMT. Akiendelea kuwa mbunge atakuwa anatafuna si maneno bali matapishi.
Maalim Seif hatakiwi kuja Tanganyika katika mikutano ya kisiasa. Kwa kauli ya ujirani mwema kama Kenya, nasi tunataka ujirani mwema hivyo siasa za CUF mwisho Chumbe. Kama ataendelea kuja katika mikutano, kwanza apuuzwe kwasababu anaongea sichokiamini na watu wasiomhusu. Pili atakuwa amekula matapishi achilia mbali kujiuma uma.
Maalimu Seif na Jusa wavunje kwanza CUF ili wawe na vyama huru vya kizanzibar halafu wavunje muungano. Kama hawawezi kuvunja CUF, wafunge midomo na kukaa kimya kwasababu wanakula matapishi yao na si kujiuma uma.
Wamwite Gharibu na wafanyakazi wote wa muungano kutoka ZNZ, watengeneze Passport za ZNZ haraka haraka na watumie Rupee au dollar kama hatua za kuvunja muungano. Wasipofanya hivyo basi wakipanda katika majukwa waiteni manafiki, vizabi zabina, warongo na wahuni.
Seif Sharrif na Jussa wasikie vizuri sana;tupo ambao hatutaki Muungano "wa mkataba"! Kama wao na wale wanaowashabikia wanaona kweli Tanganyika inawanyonya na wanataka uhuru kamili njia iko rahisi kabisa.
Wawaondoe wabunge wao kwenye Bunge la Muungano; waitishe kampeni ya Wazanzibari wanaotumikia serikali ya Muungano kuachia nafasi zao (akiwemo Ghaib Bilal) na wajitangazie "uhuru wao".
Lakini la kwanza ni kwa yeye (Seif) kuacha ziara za kisiasa Tanzania bara na kuamua kuvunja CUF ili chama cha siasa cha Wazanzibari watupu kizaliwe.
Hapo ndio tutajua kweli wanataka kuwa huru. Watoke kwanza wawe na Zanzibari yao halafu ndio watuulize kama tunataka Muungano wowote na wao! Siyo watoke halafu wakati huo huo waamue aina ya mkataba wanaoutaka wao!
LET ZANZIBAR GO!
Maalim Seif na JUssa wake ni wahuni tu wa KISIASA:
-CUF sio chama cha KIMKATABA kati yao na LIPUMBA na akina Mtatiro;
-Maalim Seif ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar. Hana MKATABA na Dr Shein;
-Jussa aliteuliwa na Kikwete kuingia Bunge la JMT. Hakuyasema haya anayoyaimba sasa hadi anamaliza muda wake;
-Baraza la Wawakilishi halina muwakilishi yeyote toka Bunge la Muungano ingawa Baraza lenyewe linao Wawakilishi watano ndani ya Bunge la JMT;
-Hotuba za Maalim Seif anapokuwa kwenye mikutano ya CUF huku bara hazisemi lolote kuhusu Muungano wa mkataba.
Kuna wabunge wengi tu wa CUF kutoka Zanzibar. Waje na hoja hii ya Muungano wa Mkataba haraka. Hili sio suala la majukwaani. Chombo pekee cha kulishughulikia hili ni BUNGE la JMT lenye wabunge wa pande zote. Wabunge ambao wana haki sawa kwa suala lolote la Muungano.
Utashangaa Mtikila wanamfungulia kesi za uchochezi, gazeti la Mwanahalisi likafungiwa kwa uchochezi, wananchi wengi tu wanazo kesi eti ni uchochezi lakini hawa akina Jussa, Seif na wengineo haya wayafanyayo sio uchochezi.
Labda tuseme tafsiri ya sheria zetu ina rangi na dini, lakini kama haina basi hawa jamaa wana kesi zaidi ya moja ya kujibu.
Binafsi nimefika mahali sipendi aina yoyote ya muungano kati ya Tanganyika na hawa wazenj, labda ushirikiano kama tulivyo nao na Kenya, Uganda na Rwanda ila sio zaidi ya hapo.
kumbe mnaupenda muungano sasa kelele za niniMKUU MMJ, heshima mbele. Naona umeishiwa hoja, hujui hata ulisemalo. Unapapatika tu, kijiba cha roho kimekukaa. Haaa haa haa.
Seif Sharrif na Jussa wasikie vizuri sana;tupo ambao hatutaki Muungano "wa mkataba"! Kama wao na wale wanaowashabikia wanaona kweli Tanganyika inawanyonya na wanataka uhuru kamili njia iko rahisi kabisa.
Wawaondoe wabunge wao kwenye Bunge la Muungano; waitishe kampeni ya Wazanzibari wanaotumikia serikali ya Muungano kuachia nafasi zao (akiwemo Ghaib Bilal) na wajitangazie "uhuru wao".
Lakini la kwanza ni kwa yeye (Seif) kuacha ziara za kisiasa Tanzania bara na kuamua kuvunja CUF ili chama cha siasa cha Wazanzibari watupu kizaliwe.
Hapo ndio tutajua kweli wanataka kuwa huru. Watoke kwanza wawe na Zanzibari yao halafu ndio watuulize kama tunataka Muungano wowote na wao! Siyo watoke halafu wakati huo huo waamue aina ya mkataba wanaoutaka wao!
LET ZANZIBAR GO!
MKUU MMJ, heshima mbele. Naona umeishiwa hoja, hujui hata ulisemalo. Unapapatika tu, kijiba cha roho kimekukaa. Haaa haa haa.