Acha ngonjera zako hizo bana, kama ni ukhabithi wa 1884 kwa nini msijiunge na Kenya au Uganda au Malawi nk nk? Mna mambo yenu myajuayo ndo maana hamtaki kuachia. Kwani kuungana unaona ni bora na Zanzibar tu. Labda Dar es salaam je Kigoma na Burundi, Kyaka na Uganda, Namanga na Kenya nk nk? Waachieni nchi yao bana tumechoshwa na malumbano ya kila mara sisi.
[QUOTE=umsolopagaz;3679652]kwa uchungu....ningependa ajue kuwa wazawa asilia wa eneo hili la dunia tunatazamana kimahusiano nyuma zaidi kabla ya 'ukhabith" wa 1884 ambao yeye jussa anaonekana kuuona kama ni "wokovu" unaompa haki ktk eneo hili, ya kuendeleza njozi za kihabith za bismark and company...anataka kitu gani kikubwa ambacho hakipati ndani ya muungano, ambao msingi wake ni makubaliano ya viongozi wetu walioongoza harakati za kutukomboa kutoka ktk ukoloni wa kiingereza na kiarabu halikadhalika?...[/QUOTE]
[QUOTE=umsolopagaz;3679652]kwa uchungu....ningependa ajue kuwa wazawa asilia wa eneo hili la dunia tunatazamana kimahusiano nyuma zaidi kabla ya 'ukhabith" wa 1884 ambao yeye jussa anaonekana kuuona kama ni "wokovu" unaompa haki ktk eneo hili, ya kuendeleza njozi za kihabith za bismark and company...anataka kitu gani kikubwa ambacho hakipati ndani ya muungano, ambao msingi wake ni makubaliano ya viongozi wetu walioongoza harakati za kutukomboa kutoka ktk ukoloni wa kiingereza na kiarabu halikadhalika?...[/QUOTE]