Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,871
Sababu alizoziandika ni za msingi sana, kwani atapata wakati wa kuwatumikia wananchi wake kwa uwezo mkubwa zaidi.
Hizi ni habari mbaya kwa wale wanaoutaka muungano fake. Safai hii analivalia njugu suala la muungano kisheria mpaka uundwe muungano unaofahamika na kukubalika na pande zote mbili. Sisi watanzania bara ni wanafiki, kwa sababu hata sisi hatuupendi huu muungano ulivyo lakini tunasemea pembeni tu. Ni muhimu kuwa muwazi na kutumia vyombo vya kisheria kusema manunguniko yetu.
Kwa wale viongozi wanafiki wa Zanzibar wanaocheza kote kote, kwao itakuwa brake. Kwa sababu kwa mpango huu wa Jusa, kila mmoja atalazimika kuonyesha yuko wapi awe CCM au CUF. Manunguniko ya suala la Muungano si suala la UAMSHO, bali ni suala la Wazanzibar wote, hivyo wote wale wanaojificha nyuma wakiutanguliza UAMSHO mbele kama hawana pa kuisemea watapata pa kusemea. Hii ni kutokana na kuanzishwa chombo maalum kitachoshughulikia suala la Muungano wa mkataba.
Hayo ni machache tu, bali yapo mengi atayoyashughulikia. Hii ni habari njema.
Hizi ni habari mbaya kwa wale wanaoutaka muungano fake. Safai hii analivalia njugu suala la muungano kisheria mpaka uundwe muungano unaofahamika na kukubalika na pande zote mbili. Sisi watanzania bara ni wanafiki, kwa sababu hata sisi hatuupendi huu muungano ulivyo lakini tunasemea pembeni tu. Ni muhimu kuwa muwazi na kutumia vyombo vya kisheria kusema manunguniko yetu.
Kwa wale viongozi wanafiki wa Zanzibar wanaocheza kote kote, kwao itakuwa brake. Kwa sababu kwa mpango huu wa Jusa, kila mmoja atalazimika kuonyesha yuko wapi awe CCM au CUF. Manunguniko ya suala la Muungano si suala la UAMSHO, bali ni suala la Wazanzibar wote, hivyo wote wale wanaojificha nyuma wakiutanguliza UAMSHO mbele kama hawana pa kuisemea watapata pa kusemea. Hii ni kutokana na kuanzishwa chombo maalum kitachoshughulikia suala la Muungano wa mkataba.
Hayo ni machache tu, bali yapo mengi atayoyashughulikia. Hii ni habari njema.