masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Huyo Jussa hajaridi kwao tu?
Huyo Jussa hajaridi kwao tu?
Haswaaaa...
Kwa mbaaaaaaaaaaaali,naiona Tanganyika Yetu,isiyokuwa na Matatizo ya Uamsho nk,Hongera nenda kadai pemba yenu wawape hao wazanzibara!
Amejiuzuru nafasi yake ya unaibu katibu mkuu wa CUF - Zanzibar!
Kunani?
Source: Radio DW
Mkimaliza kutengana na Tanganyika, mtaanza kuulizana hivi wewe Jusa ni wa wapi? Mtagundua ni Mhindi flani then mtamtimua kama mbwa. Halafu mtamuuliza nawe Karume ni wa wapi? Mtagundua ana asili ya Kigoma Ujiji, mtataka naye akupisheni. Mwisho wa yote mtajikuta wote hamna asili ya Unguja wala Pemba, kumbe wengine asili yao ni Komoro, Tumbatu, Ngazija, Moroni, Mayote, Mafia, na Tanga (Tanganyika). Fanyeni fasta mtupishe, nasi Watanganyika tutawataka wanaojiita wazenji walioko huku wachague moja kati ya kurudi Zenji au kuchukua uraia wa huku.
Ni viongozi wachache sana wenye maamuzi kama ya Jussa. He has my credit already!