kichwat
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 1,819
- 587
utafiti wa hivi karibuni umegundua kwamba walaji wa junk/fast food kwa wingi wanahatarisha afya ya akili, hasa watakapofika 45+yrs. Badala yake SAMAKI, MBOGA na MATUNDA ndo mwendo wa kijanja. Zaidi soma hapa: http://www.bbc.co.uk/news/health-16344228