Hebu ipe stori maneno shostitoo.... Unajua ni siku nyingi hujatujuza yaliyotokea na yaliyoendelea tangu kipindi kile mimba ilipokuwa inamtaka baba mtoto...
Hongera zako mwaya...
hongera sanaNaombeni hongera zangu loh! Mtoto ana miezi 3 sasa.
Asante. Umenikumbusha ile ilikuwa ya junior sasa ana mdogo wake kazaliwa mwezi wa 3 tarehe 7.Hebu ipe stori maneno shostitoo.... Unajua ni siku nyingi hujatujuza yaliyotokea na yaliyoendelea tangu kipindi kile mimba ilipokuwa inamtaka baba mtoto...
Hongera zako mwaya...
Asante nashukuru. Babake hajambo mwaya kafurahije tunakunywa naye supu katoka shavu ka vile na yeye ananyonyesha!*Da Sophy tulikumiss sana hongera babake hajambo?
Nilitamani wa kike junior apate dadake lakini kwa kudra za Maulana nimempata wa kiume, babake kafurahi nami nimefurahi sana pia. Wajua raha ya mtoto wazazi wote mkimfurahia ndio inazidi.hongera ka kike/kiume; tukatafutie zawadi
Msinishangae mwenzenu na bandika bandua madokta wameniambia nifanye za fastafasta nisije nikakosa. Sikuwaambia kabla ya junior nilishafanyiwaga operesheni nikatolewa uvimbe. Wakaniambia nikilaza damu inakula kwangu jumla. Sasa hivi mashallah nashukuru Alhamdulillahi.
da sophy hongera sana,umeadimika kweli.siku hizi wana jf wametulia.majungu hakuna tena