Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
- Thread starter
- #21
Tanzania ni nchi na eneo lake ni eneo lote la Tanzania Bara na Tanzania Visiwani. Ndani ya Tanzania kuna nchi ya Zanzibar? Nchi hii ina Raisi, Mahakama, Baraza la Wawakilishi etc.
Mkanganyiko wa ajabu. Kila kitu kiko wazi lakini hakuna anayechukua hatua kukubali lawama za mkanganyiko huo.
Mkanganyiko wa ajabu. Kila kitu kiko wazi lakini hakuna anayechukua hatua kukubali lawama za mkanganyiko huo.