Wote tunatambua ya kuwa ajira ni muhimu katika maisha ya mwanadamu, pia tunatambua ya kuwa kama kijana kuishi ni muhimu kuwa na ajira hivyo ukosefu wa ajira ni jambo gumu kwa kijana, kuliona hilo kuwa ni tatizo kwa vijana nimeona kuanzisha jukwaa litalokusanyisha wasio na ajira ili kuwa na sauti moja. Lengo si tu kutaka ajira bali kutafuta namna serikali itavyoweka namna ya vijana waweze kupatiwa mitaji au fursa za kujiajiri
Walio tayari kwenye jukwaa la wasio na ajira naomba wajiunge ili sauti ya umoja ni sauti ya Mungu
kuna kitu lazima ukitambue kazi ya taasisi hii ni ya kisera zaidi , kwani kazi yake ni kuweka mazingira mara ya watu kuweza kukabiliana na tatizo la ajira. na kwa mfumo wake itakuwa na bodi ambayo wajumbe wake watatoka sehemu mabali mabali , kwa ufupi mchanganuo wa mfumo wa bodi hii
1. Kutoka katika kundi la wasio na ajira
2. muwakilishi kutoka bungeni
3.muwakilishi kutoka katika wizara ya ajira/utumishi
4.Wawakilishi katika vyama vyote vya siasa
5.muwakilishi kutoka taasisi ya msajili wa kampuni na biashara
6.muwakilishi kutoka makampuni mbali mbali
LENGO LA JUMUIA HII
1. Kusaidia vijana kutuma maombi ya ajira kwenda sehemu mabali mbali
2. kutafuta ajira na fulsa za kibiashara sehemu mbali mbali na kuziweka wazi kwa wasio na ajira
3.Kuwasiliana na serikali hili kutoa usajili na utoaji wa leseni za kibiashara kwa wasio na ajira kwa gharama ndogo au bure kabisa
4.kuwawezesha vijana walio katika biashara ndogo ndogo kutambulika na kuweza kukopesheka
5.Kutafuta mitaji kutoka katika taasisi mbali mbali ikiwemo kujaribu kushauri makampuni makubwa ya madini, mabenki na makampuni ya simu kuchangia angalau 1% ya faida kama ruzuku kwa vijana wasio na ajira
5. kusimamia ajira za umma kutotolewa kwa upendeleo au rushwa
kwa maoni na ushauri pls sms 0752798074
Walio tayari kwenye jukwaa la wasio na ajira naomba wajiunge ili sauti ya umoja ni sauti ya Mungu
kuna kitu lazima ukitambue kazi ya taasisi hii ni ya kisera zaidi , kwani kazi yake ni kuweka mazingira mara ya watu kuweza kukabiliana na tatizo la ajira. na kwa mfumo wake itakuwa na bodi ambayo wajumbe wake watatoka sehemu mabali mabali , kwa ufupi mchanganuo wa mfumo wa bodi hii
1. Kutoka katika kundi la wasio na ajira
2. muwakilishi kutoka bungeni
3.muwakilishi kutoka katika wizara ya ajira/utumishi
4.Wawakilishi katika vyama vyote vya siasa
5.muwakilishi kutoka taasisi ya msajili wa kampuni na biashara
6.muwakilishi kutoka makampuni mbali mbali
LENGO LA JUMUIA HII
1. Kusaidia vijana kutuma maombi ya ajira kwenda sehemu mabali mbali
2. kutafuta ajira na fulsa za kibiashara sehemu mbali mbali na kuziweka wazi kwa wasio na ajira
3.Kuwasiliana na serikali hili kutoa usajili na utoaji wa leseni za kibiashara kwa wasio na ajira kwa gharama ndogo au bure kabisa
4.kuwawezesha vijana walio katika biashara ndogo ndogo kutambulika na kuweza kukopesheka
5.Kutafuta mitaji kutoka katika taasisi mbali mbali ikiwemo kujaribu kushauri makampuni makubwa ya madini, mabenki na makampuni ya simu kuchangia angalau 1% ya faida kama ruzuku kwa vijana wasio na ajira
5. kusimamia ajira za umma kutotolewa kwa upendeleo au rushwa
kwa maoni na ushauri pls sms 0752798074