JUMUIA YA WANAOISHI NY, NJ na CT yapata Viongozi Wapya hili ndio Gamba Jipya la CCM huko??

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
Hawa ni Viongozi wa CCM as Malecela asema CCM maeneo hayo kujivua gamba?
DSC01349.JPG


Balozi wa Tanzania Umoja Wa Mataifa Ombeni Sefue (Kati) wakiwa na Viongozi wapya wa Jumuia ya Watanzania waishio New York, New Jersey na Connecticut.
Toka Kushoto
Shaban Mseba Naibu Katibu
Dr. Mariam Abu Naibu Mwenyekiti
Hajji Khamis – Na Mtoto Wake Mwenyekiti
Ombeni Sefue Balozi
Vincet Mughwai Katibu
Philip Lwiza Mtunza Hazina
Mzee Temba Msaidizi Mtunza Hazina
 
umechanganya habari, Billy was referring to CCM @ NYC sasa sijui wewe unarefer nini??
 
umechanganya habari, Billy was referring to CCM @ NYC sasa sijui wewe unarefer nini??

NY Stands 4 New York na Sijui hii ni Jumuia ya nini? Mimi naishi NY sikualikwa kwa Mh. Balozi kwa huu Mkutano
 
Pheeew kukaa kote NY bado wanaonekana wamchuuuja :smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
mweeeh ndo maana wanatafuta njia ya kurudi bongo haha hahha hampati kitu tumewashitukia :smile-big::smile-big::smile-big:
 
icon1.png
Re: JUMUIA YA WANAOISHI NY, NJ na CT yapata Viongozi Wapya hili ndio Gamba Jipya la CCM huko??


- Hiki ni chama cha wa-Tanzania wote, I was there ukiangalia records humu utaona kuna wakati nilitangaza kuundwa wka hiki chama, so proud kwamba sasa kimesimama,

- The next phase sasa ninaendelea na matayarisho ya kufungua tawi jipya la CCM, ambalo kama kawaida kila mwananchi anaruhusiwa kuwa mwanachama, tunasubiri maelekezo zaidi toka Makao Makuu ya CCM, Dodoma.

- Ninapenda nimpongeze Ndugu yangu Hajji Khamisi, ambaye nimempigia debe sana kule Facebook kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa chama, smart, strong, young and intelligent, bravo bro na wengine wote pia mliochaguliwa hongereni sana, I am looking forward to work with you guys on the CCM's side!

- Much Respect!


William @ NYC, USA.
 
This is too low jamani tawi la CCM NY linawezaje hasa kutoa chachu ya mageuzi ndani ya CCM wakati hao walioko kwenye uongozi ni makuwadi wa ufisadi? Gamba haliwezi kuondolewa huko, gamba linatakiwa kuondolewa Magogoni.
 
icon1.png
Re: JUMUIA YA WANAOISHI NY, NJ na CT yapata Viongozi Wapya hili ndio Gamba Jipya la CCM huko??


This is too low jamani tawi la CCM NY linawezaje hasa kutoa chachu ya mageuzi ndani ya CCM wakati hao walioko kwenye uongozi ni makuwadi wa ufisadi? Gamba haliwezi kuondolewa huko, gamba linatakiwa kuondolewa Magogoni.

- ?????????????????????
 
mkuu ebu ongea lugha inayoeleweka hiyo sio jumuiya ya watanzania, hiyo ni jumuiya ya CCM, labda sema watanzania wote wanakalibishwa,
na sio kujaribu kuwabaka watanzania kwa kujifanya ni jumuiya ya watanzania na hakuna CCM wakati hapo umesema unasubiria maelekezo kutoka ccm makao makuu, watu kuwa wanachama sio tatizo ila hii jumuiya ni ipi? ccm au watanzania? na ukisema watanzania hiyo ccm dodoma imekuja je?
maana sio muanze kutumia hela ya serikali kwenye mambo ya chama kwa kujifanya ili sio tawi la chama, kuweni wawazi hata mafisadi walianza hivi hivi,
come again please!!!!!!!!!!!!

icon1.png
Re: JUMUIA YA WANAOISHI NY, NJ na CT yapata Viongozi Wapya hili ndio Gamba Jipya la CCM huko??


- Hiki ni chama cha wa-Tanzania wote, I was there ukiangalia records humu utaona kuna wakati nilitangaza kuundwa wka hiki chama, so proud kwamba sasa kimesimama,

- The next phase sasa ninaendelea na matayarisho ya kufungua tawi jipya la CCM, ambalo kama kawaida kila mwananchi anaruhusiwa kuwa mwanachama, tunasubiri maelekezo zaidi toka Makao Makuu ya CCM, Dodoma.

- Ninapenda nimpongeze Ndugu yangu Hajji Khamisi, ambaye nimempigia debe sana kule Facebook kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa chama, smart, strong, young and intelligent, bravo bro na wengine wote pia mliochaguliwa hongereni sana, I am looking forward to work with you guys on the CCM's side!

- Much Respect!


William @ NYC, USA.
 
Acha kujikosha wewe Malecela kwani taarifa za CCM zinaonesha wazi wewe ni Chadema na unamiliki Jamiiforums ili uiangamize CCM sasa hizo tambo unadhani zitabadili upepo wa Nape?

icon1.png
Re: JUMUIA YA WANAOISHI NY, NJ na CT yapata Viongozi Wapya hili ndio Gamba Jipya la CCM huko??


- Hiki ni chama cha wa-Tanzania wote, I was there ukiangalia records humu utaona kuna wakati nilitangaza kuundwa wka hiki chama, so proud kwamba sasa kimesimama,

- The next phase sasa ninaendelea na matayarisho ya kufungua tawi jipya la CCM, ambalo kama kawaida kila mwananchi anaruhusiwa kuwa mwanachama, tunasubiri maelekezo zaidi toka Makao Makuu ya CCM, Dodoma.

- Ninapenda nimpongeze Ndugu yangu Hajji Khamisi, ambaye nimempigia debe sana kule Facebook kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa chama, smart, strong, young and intelligent, bravo bro na wengine wote pia mliochaguliwa hongereni sana, I am looking forward to work with you guys on the CCM's side!

- Much Respect!


William @ NYC, USA.
 
maajabu hayaishi Tanzania, kila siku kuna kibomu, sasa hapa tumerudi square one
kwamba jf inamilikiwa na chadema au wana-chadema?
mkuu kaa vizuri kuna makombora yanakuja sio muda

Acha kujikosha wewe Malecela kwani taarifa za CCM zinaonesha wazi wewe ni Chadema na unamiliki Jamiiforums ili uiangamize CCM sasa hizo tambo unadhani zitabadili upepo wa Nape?
 
mkuu ebu ongea lugha inayoeleweka hiyo sio jumuiya ya watanzania, hiyo ni jumuiya ya CCM, labda sema watanzania wote wanakalibishwa,
na sio kujaribu kuwabaka watanzania kwa kujifanya ni jumuiya ya watanzania na hakuna CCM wakati hapo umesema unasubiria maelekezo kutoka ccm makao makuu, watu kuwa wanachama sio tatizo ila hii jumuiya ni ipi? ccm au watanzania? na ukisema watanzania hiyo ccm dodoma imekuja je?
maana sio muanze kutumia hela ya serikali kwenye mambo ya chama kwa kujifanya ili sio tawi la chama, kuweni wawazi hata mafisadi walianza hivi hivi,
come again please!!!!!!!!!!!!

- Ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni! Duh!

FMEs!
 
Acha kujikosha wewe Malecela kwani taarifa za CCM zinaonesha wazi wewe ni Chadema na unamiliki Jamiiforums ili uiangamize CCM sasa hizo tambo unadhani zitabadili upepo wa Nape?

- Unajua ukitaka kuchonganisha kwa nia ya chuki zako binafsi, tumia lugha sophisticated japo kidogo kuwaheshimu unaowa-address maana sio wajinga as you think kwamba wanaweza kuingia mkenge na maneno cheap kama haya, yale yale wabongo na maneno maneno, matendo hakuna!

- I know kwamba inauma sana lakini it is life!


FMEs!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom