Hapa pia umekosea. Aliyekuwa anashika fedha za Mwalimu ni Mkanzabi.Tunaambiwa mwalimu alikuwa hatembea na fedha mfukoni hata siku moja, Butiku ndiye alikuwa anashika fedha za Nyerere na kuzitumia kwa maelekezo ya mwalimu katika mizunguko yote ya mwalimu. Fursa hii ya kutumia fedha kwa maelekezo ya mdomo ilimpatia butiku nafasi ya kuwajeruhi madada zetu hata ndoa yake ikamshinda ndipo mkewe akakimbilia nje ya nchi kukimbia aibu