masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
View attachment 66499
Ni tukio la kusikitisha, jumba hili nadhifu lilojengwa na mwenyewe limeungua paa kabisa mnamo saa 11.30 hadi 12 jioni bila msaada wowote.
kwa vile jengo nil la ghorofa wapita njia walisikika wakisikitika tu wasijue la kufanya.
Hata "Fire" walipofika hapo mida ya saa 12.30 paa lote lilisha ungua.
Jumba hilo lipo barabara ya Kawe-Africana, sehemu maarufu kama "kwa Abson".
Nampa pole mwenye nyumba maana kama ndio anakaribia kustaafu,huo ni msiba mkubwa.
Ni tukio la kusikitisha, jumba hili nadhifu lilojengwa na mwenyewe limeungua paa kabisa mnamo saa 11.30 hadi 12 jioni bila msaada wowote.
kwa vile jengo nil la ghorofa wapita njia walisikika wakisikitika tu wasijue la kufanya.
Hata "Fire" walipofika hapo mida ya saa 12.30 paa lote lilisha ungua.
Jumba hilo lipo barabara ya Kawe-Africana, sehemu maarufu kama "kwa Abson".
Nampa pole mwenye nyumba maana kama ndio anakaribia kustaafu,huo ni msiba mkubwa.