Jumba hili kwenye eneo la ATC ni la nani? - Picha

Mi naona umefika wakati na wewe ulie kwenye system chukua chako mapema
wallahi anwaambia hapa tunadanganyana ati ipo siku ipo siku kikwete huyo anahukua tena 15
wafadhili r.aziz...nani kakwambia ipo siku siku ipo kwako utakapoachota na wewwe

tuambiane nini cha kufanya lakini kuwafukuza ao jama mi naona too late na mungu akituweka hai 2015
anaingia lowassa .edward tukiwa shaidi pori lingine kukamata ikulu...so unahesabu tena 10 jumla 2025
endelea kubaki na ipo siku ...siku unayo wewe apo ulipo piga songa mbele...wema wa wazazi wetu ndio umetifikisha hapa
tulipo wangeamua kuwahi kutoka mapem a kama hawa mafisadi tusingekuwa tunapiga kelel hum ndani na nina
uhakika mmmoja wetu angekuwa babake rosta, mwingine mjomba atosogelea thread kama hii

so ifike wakati tukubali wazazi wetu wamechelewa basi bado na sisi tuna nafasi ya kutoka
kihiiari ikishindikana kigumu gumu basiiiiii lakini hili la ipo siku ipo siku subir 2015
uwanja wa taifa .......!!$%$
 
Hata nchi ya Ivory Coast ilikuwa hivi hivi, wananchi waliteswa sana lakini baadaye ililipuka kwa hiyo naamini hizo nyumba zitarudi ktk himya ya wazawa pindi wajukuu zetu watakapo anzisha vita ya ndani dhidi ya wezi wa mali za umma.
 
The mystery ATC mansion

A construction board in front of the building names the project developer simply as ATC of P.O.Box 7867, Dar es Salaam.

According to available public records, the postal address in question is associated with a Dar es Salaam-based accountant identified as John K. Kato

Msaada tutani, nataka ku-connect dots
Huyu Kato ndiyo yule wa CASPIAN?
 
Back
Top Bottom