Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,944
- 22,095
nawatakia jumapili njema na safari njema kwa wote wanaoanza kuondoka kesho kuelekea Moshi na kwingineko kuweza pata sensa kamili ya wangapi walioko dar tuweze kuwaita siku za Harambee za vijiji kuchangia maendeleo yenu
Msiache kwenda kusali kumshukuru Mungu jamani
Msiache kwenda kusali kumshukuru Mungu jamani