Juma Nkamia: Ni nani wamiliki wa mitandao inayokashifu viongozi?

Tanzania tuna bahati mbaya sana. Inawekuje tuna wabunge vijana wenye mawazo ya kizamani hivi? Juma Nkamia na exposure yote bado analeta siasa za kizamani hivyo? Inasikitisha! Anayekashifiwa si aende mahakamani? Nini maana ya utawala wa sheria?

Juma hajui kuambiwa ukweli, akiambiwa ukweli anaita kashifa utadhani si mwandishi wa habari yeye anataka asifiwe hata kama analala bungeni aache ujinga wake na magamba yake
 
- Mheshimiwa ameuliza swali, anachotakiwa ni kujibiwa kama alivyouliza ndio kuwa grea thinker, kuhusu mengine kama ya kutetea and stuff ni yale yale niliyosema mtu kukuita mbwa na unajua you are not, so inakuwa kelele za mlango!!

- The bigger question hapa ni nini role ya forums na blogs katika transformation ya taifa kutoka chama kimoja kwenda kwenye siasa za vyama vingi, what is the role of mitandao na sio majina ya watu na ukuu wa wilaya kama ulivyosema it has absolutey nothing to do with it!!

- Great Thinkers tunatakiwa ku-deal na the big picture always kuiko majina ya watu!!, Swali alilotakiwa kuuliza Mheshimiwa Mbunge ni what is the role ya mitandao na siasa za vyama vingi, waziri wa Mawasiliano anatakiwa kuitisha semina kwa wabunge on the ishu, badala ya kutafutana uchawi!!

William.
Mh Malechela. Tatizo la watumiaji wengi wa JF NI WANAFIKI. Wanadai redio imaani ifungiwe kwa madai ya kukashifu viongozi na dini . Lkn leo jf imeshtumiwa bungeni tunaanza kulalama. huu ubaguzi tunaonyesha humu ndio matunda yake. kama kuvaa ngozi ya Chuma sio kwa jf peke yake. hata huko kwengine. Tumpongez nkamia kwa kutonyesha kasoro zetu
 
Eti mwana habari mkongwe! kachemka, alafu anajifanyaga mjuaji sana, eti kwa kuwa aliluwa BBC. Mshamba ni mshamba tu.hata umpeleke new york.
 
kiukweli mh.mbunge yeye mwenyewe afanye utafiti juu ya hili na aliambie bunge matokeo ya utafiti wake,aiwezekani kwa mh. Kama yeye kutokufahamu alilohoji leo bungeni. Mimi nafikiri ni kutokana na yeye mwenyewe kusemekana kujihusisha moja kwa moja na mmomonyoko wa maadili ndani ya jamii hivyo kuhofu juu ya m/mitandao ya kijamii kulisemea hili.swali kwanini yeye ahoji hili na si wengine na wengine?

Na hata kama inasemekana kwamba m/mitandao ukashifu viongozi lakini kuna wakati viongozi hawa hawa uitumia kujipatia umaarufu kisiasa n.k.yeye mwenyewe ajipime je ni safi na kama si safi asitegemee mitandao kumsafisha. Natoa rai kwa mh. Huyu siku ingine aulize maswala yanahusu wananchi wake na si kuuliza maswali yanayolenga kujipendekeza kwa wakubwa na kwa wale ambao kwa namna moja au ingine uwatusi viongozi.

Ni busara sasa kwa viongozi wenyewe kuwafuatiali na kuwachukulia hatua zinazostahili na si kukaa kimya na kusubili kusemewa na watu ambao wana upeo ndogo wa kujenga hoja na hivyo kusababisha mkanganyiko katika jamii.asante mtoa mada hii,tuko pamoja
.
 
[Mchimba kaburi ipo siku na yeye atachimbiwa. heko Nkamia kwa kusema ukweli bungeni.

wewe ulishasema JF ifungwe sasa unafanya nini huku
 
juma mkamia hakuwa na sifa ya kuwa mbuge..amekuwa mbunge bom kulko wote, angepaswa awe baloz wa ccm, kwan hayupo kwa maslai ya taifa, yupo kufraisha wazee wa ccm..amekuwa ki2kuko bungen, kwan amekuwa akchangia madudu,
 
Kuna viongozi wengi ndani ya CCM ambao kwasababu ya kutojua kwamba historia ya mageuzi imeisha tangulia mfumo wao wa kiutawala,wanadhani ubabe unaweza wawezesha waendelee kutawala nchi kwa miaka kadhaa!
 
Mh Malechela. Tatizo la watumiaji wengi wa JF NI WANAFIKI. Wanadai redio imaani ifungiwe kwa madai ya kukashifu viongozi na dini . Lkn leo jf imeshtumiwa bungeni tunaanza kulalama. huu ubaguzi tunaonyesha humu ndio matunda yake. kama kuvaa ngozi ya Chuma sio kwa jf peke yake. hata huko kwengine. Tumpongez nkamia kwa kutonyesha kasoro zetu

hamkusklza hoja ya mweshmiwa kwa makn' cjui mna tetea nn hapa!...
 
kwa hoja hii, Nkamia Juma ni mpumbavu! hivi kumwita mpaumbavu kwa cheo chake ni tusi?
 
Mbunge Juma Nkamiya amehoji ni nani wa miliki wa mitandao inayokashifu viongozi.

Mbunge huyo amehoji jioni hii wakati bunge limekaa kama kamati kupitisha bajeti ya wizara ya mawasiliano, sayansi na teknolojia. Kasema mitandao hiyo ina matangazo ya Airtel na Vodacom hivyo serikali ianzie huko kusaka wamiliki.

Waziri kasema wamiliki wapo Tanzania na nje ya Tanzania, hata hivyo serikali ina chombo maalum ambacho kinafuatilia mitandao hii.

Wanakashifiwa Mitume na Manabii walioletwa na Mungu....
Itakuwa yeye aliyechaguliwa na wanadamu?
Tena baada ya kutoa hongo ya Sahani za Ubwabwa?

Akwende
 
What amazes me ni kwamba, wanaozungumzia JF ifungwe na kuilalamikia huku na kule wanahit mijadala ya jukwaa la siasa tu. Watu hawa ni vipofu wa ukweli kwamba JF kuna majukwaa kibao. Kuna watu wengi wamepata kazi kupitia JF, wengine wamepata wachumba na wake kupitia JF, wengine wameanzisha bussiness ventures kupitia JF, Wengine wameweza kujifunza taaluma mbalimbali kupitia JF - hivi sasa kuna somo zuri la kuhusu joomla hapahapa JF linaendeshwa. Sasa hii tabia ya wanasiasa kudhani kuwa mijadala inayowahusu wao ni muhimu zaidi kuliko kitu kingine chochote kwenye jamii kiasi cha kutaja forum useful kama JF ifungwe kwa kweli inatia aibu! Huyo mwanasiasa anayesuggest JF ifungwe kama mna namba yake iwekeni hapa tumpe darasa, inawezekana sio kosa lake ila ni ukosefu wa maarifa tu!
 
Mkuu, jf ndo alichokuwa anamaanisha yule mana juz juz hapa yeye mwenyewe kaandikwa humu kuwa amefumwa akivunja amri ya sita kwenye gar! mpaka hapo unaweza kuona kias gan anahasira na jf.



Kumbe ndo maana ana hasira. Yaani gesti zilijaa Dom mpaka akavunja amri ya sita ndani ya gari? Eti baada ya kuchangia maendeleo ya nchi yeye anataka kukandamiza watu wasiongee na kukosoa wabunge vihiyo. Dunia ya utandawazi hii kijana Mkamia.
 
Wabunge vilaza utawajua tu! sasa ndio swali gani? Ukishawajua inakuwaje? Acha kusoma kwani lazima usome kila kinachoendelea kwa mitandao?
 
Naomba anayejuwa wasifu wa Mkamia abandike humu tuone. Haiwezekani mtu mwenye akili timamu akawa na hasira za kijinga namna hii. JF si sehemu ya majungu na kama majungu yapo basi hao watakuwa watu wa Facebook au bloggers waliokosa visitors kwenye site zao na kuja kuchafua hali ya hewa hapa JF. Mh. Mkamia kuwa na tabia ya kupitia JF kila siku utaelimika na pengine hata ubunge utaacha kwa elimu utakayopata hapa. Nawakilisha!
 
Hii thread haina mpango,ataje hiyo mitandao tuwaambie wamiliki wake kama wanataka,facebook kwa kuanzia ni huyo Zuckerberg kama sijakosea,wamiliki wa JF wanawafahamu kina Mike na Max.So wanachotaka ni nini?Nchi yetu ina maudhi sana,sijui hata hao viongozi waliupataje uongozi.I really feel sorry for my country!
 
- Mheshimiwa ameuliza swali, anachotakiwa ni kujibiwa kama alivyouliza ndio kuwa grea thinker, kuhusu mengine kama ya kutetea and stuff ni yale yale niliyosema mtu kukuita mbwa na unajua you are not, so inakuwa kelele za mlango!!

- The bigger question hapa ni nini role ya forums na blogs katika transformation ya taifa kutoka chama kimoja kwenda kwenye siasa za vyama vingi, what is the role of mitandao na sio majina ya watu na ukuu wa wilaya kama ulivyosema it has absolutey nothing to do with it!!

- Great Thinkers tunatakiwa ku-deal na the big picture always kuiko majina ya watu!!, Swali alilotakiwa kuuliza Mheshimiwa Mbunge ni what is the role ya mitandao na siasa za vyama vingi, waziri wa Mawasiliano anatakiwa kuitisha semina kwa wabunge on the ishu, badala ya kutafutana uchawi!!

William.
Before nilisikia wewe ni shareholder mkubwa tu wa JF,what happened?Unataka kusema hamuwajui wamiliki?wewe ulivuliwa ushareholder ama ulijivua?
 
Kwani ameitaja Jamiiforums? au mnafikiria kamaanisha Jamiiforums? yeye kasema mitandao inayokashfu viongozi well.. hata mimi ningependa kujua wamiliki wa mitandao hiyo!
 
Back
Top Bottom