Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,307
Tanzania tuna bahati mbaya sana. Inawekuje tuna wabunge vijana wenye mawazo ya kizamani hivi? Juma Nkamia na exposure yote bado analeta siasa za kizamani hivyo? Inasikitisha! Anayekashifiwa si aende mahakamani? Nini maana ya utawala wa sheria?
kweli nimeamini,haya..ni hata umpeleke new york bado atabakia kuwa haya..ni tu.pamoja na kuishi nje muda mrefu huyu jamaa bado ni cheap thinker kiasi hiki?