kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Ni bahati mbaya sana watanzania hatupendi kukumbuka au kuenzi kazi za wasanii wetu.leo naonyesha mfano kwa kumkumbuka msanii aliyewahi kuwa maarufu JUMA NATURE haswa katika album yake ya UGALI kuna wimbo aliimba kuhusu vurugu za kisiasa nchini zanzibar,baadhi ya maneno ya wimbo huo ni "muungano ccm na cuf,sote tunaulilia....."
kwa mwenye lyrics za wimbo huo atuwekee hapa tujikumbushe maono/ndoto iliyotimia ya Sir J.nature
Nawasilisha...
kwa mwenye lyrics za wimbo huo atuwekee hapa tujikumbushe maono/ndoto iliyotimia ya Sir J.nature
Nawasilisha...