Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Kitu za namna hii ni upuuzi huu!
Sijaelewa mtoa mada alikuwa na lengo gani katika kutoa hii picha!
Kinachokuthibitishia kuwa hapo ni JNIA ninini?
Hiyo banner ni kitambaa/ karatasi tu, it could be taken anywhere coz its portable!
Acheni ujinga wa kuchukua picha za kitoto za FB na kuzileta hapa broda, mnapunguza hadhi ya majamvi na kuonekana wavivu wa kutafuta sources za habari!
Mnaitukanisha nchi yenu bure mbele za wageni kwa kuidharau hata kwa vitu vidogo kama viti!~!
Kitu za namna hii ni upuuzi huu!
Sijaelewa mtoa mada alikuwa na lengo gani katika kutoa hii picha!
Kinachokuthibitishia kuwa hapo ni JNIA ninini?
Hiyo banner ni kitambaa/ karatasi tu, it could be taken anywhere coz its portable!
Acheni ujinga wa kuchukua picha za kitoto za FB na kuzileta hapa broda, mnapunguza hadhi ya majamvi na kuonekana wavivu wa kutafuta sources za habari!
Mnaitukanisha nchi yenu bure mbele za wageni kwa kuidharau hata kwa vitu vidogo kama viti!~!
Mbona imekuuma sana Kaka au were meneja wa uwanja?
Sijawahi kuona airport ovyo kama ya Tanzania na nimewahi kutua nyingi
Airport giza! Airport pekee ambayo check inn ni baada ya kukaguliwa na huruhusiwi tena kutoka!
Vipaumbele vya hao wanaojiita Viongozi katika nchi yetu vimekaa kushoto kushoto ndiyo maana kila kitu chetu kiko shaghala baghala. Wanasafiri kila siku na kuona Airports za wenzetu zilivyo nzuri lakini hawachukui hatua zozote za kuifanyia matengenezo ile iwe katika hadhi ya kimataifa.
Kitu za namna hii ni upuuzi huu!
Sijaelewa mtoa mada alikuwa na lengo gani katika kutoa hii picha!
Kinachokuthibitishia kuwa hapo ni JNIA ninini?
Hiyo banner ni kitambaa/ karatasi tu, it could be taken anywhere coz its portable!
Acheni ujinga wa kuchukua picha za kitoto za FB na kuzileta hapa broda, mnapunguza hadhi ya majamvi na kuonekana wavivu wa kutafuta sources za habari!
Mnaitukanisha nchi yenu bure mbele za wageni kwa kuidharau hata kwa vitu vidogo kama viti!~!
Vipaumbele vya hao wanaojiita Viongozi katika nchi yetu vimekaa kushoto kushoto ndiyo maana kila kitu chetu kiko shaghala baghala. Wanasafiri kila siku na kuona Airports za wenzetu zilivyo nzuri lakini hawachukui hatua zozote za kuifanyia matengenezo ile iwe katika hadhi ya kimataifa.
Ukisema uongo leo, kesho itakugharimu kuusema ukweli.Kitu za namna hii ni upuuzi huu!
Sijaelewa mtoa mada alikuwa na lengo gani katika kutoa hii picha!
Kinachokuthibitishia kuwa hapo ni JNIA ninini?
Hiyo banner ni kitambaa/ karatasi tu, it could be taken anywhere coz its portable!
Acheni ujinga wa kuchukua picha za kitoto za FB na kuzileta hapa broda, mnapunguza hadhi ya majamvi na kuonekana wavivu wa kutafuta sources za habari!
Mnaitukanisha nchi yenu bure mbele za wageni kwa kuidharau hata kwa vitu vidogo kama viti!~!