TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,667
- 1,566
Nilikuwa najiuliza kila siku mtu mjinga kama Ridhiwani Kikwete amepata vipi degree ya sheria? jibu ni hili hapa, na inaonekana Bongo mambo ndio mabaya zaidi eti Nape Nnauye aliyeferi form four leo ana Masters! only in Tanzania.
sio nape tu, zuzu kama mwigulu nchemba eti anjiita mchumi wa daraja la kwanza! utajiuliza kwa akili ile finyu kasomaje?