Umenena vyema wajina wa mtoto wangu................
Tribute to Dena Amsi.Umaarufu nao tabu kweli kweli...................
Aisee bac mbali na dunia,ina maana Julias Nyaisanga alishatangulia mbele za haki!?,hebu tujuze kamandaDena Amsi na Julius Nyaisanga Mungu awalaze mahala pema peponi
mmmh! Jamani atlas copco ina maana alivyofariki hukujua? mbona alitangazwa sana, walimzika kwao mkoa wa Mara. ni kitambo kidogo tokea Julius Nyaisanga alivyofariki duniaAisee bac mbali na dunia,ina maana Julias Nyaisanga alishatangulia mbele za haki!?,hebu tujuze kamanda
Haki vile ndio nasikia leo,coz kuna kipindi nikiwa Moro nilikuwa namsikia Sana radio Abood,Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani huko alipo,Amenmmmh! Jamani atlas copco ina maana alivyofariki hukujua? mbona alitangazwa sana, walimzika kwao mkoa wa Mara. ni kitambo kidogo tokea Julius Nyaisanga alivyofariki dunia
alienda Germany now yuko Abood FmWenzake wakitoka Radio One wanaenda kufanya kazi nje, yeye kaenda Moro. Ulevi mbaya jamani. Alikuwa mlevi sana hadi IPP wakamfukuza kazi
Du! arifariki siku nyingi miaka kama 4 au 3 iriyopita.Baada ya kuondoka ITV na Radio alienda Redio Dutch Welle. Huko nako amekuwa kimya sana. Maryland na maeneo jirani hatumuoni tena, sijui yuko wapi siku hizi. Mwenye info atujuze.
Aisee bac mbali na dunia,ina maana Julias Nyaisanga alishatangulia mbele za haki!?,hebu tujuze kamanda