habari waungwana,nasikia mtangazaji mkongwe katika bongo yetu Julius Nyaisanga maarufu kama anko j ameacha kazi radio one na ITV na nimefuatilia vipindi vyake kuanzia mambo mseto na radio one doctor sijamsikia,mwenye taarifa zaidi naomba animwagie
Huyu anatandika pombe na Madem, sijui kama akiacha kazi kituo gani kitamchukua......
Ni ofisi gani mkuu ambako pombe na madem haramu?
Ofisi ya Kadhi Mkuu wa Tanzania.
Kilichotokea: Alimtishia nyau-alilewa na alipoamka na pombe zake akaandika barua kwa Mhavile kuwa naacha kazi. Akili zilipomrudia, akarudi chapchap na kueleza kuwa barua aliiandika kwa makosa, lakini Mhavile akamwambia barua imeshafika na imefanyiwa kazi na ombi lako limekubaliwa,. Hivyo mkurya yuko bench hivi sasa
Kilichotokea: Alimtishia nyau-alilewa na alipoamka na pombe zake akaandika barua kwa Mhavile kuwa naacha kazi. Akili zilipomrudia, akarudi chapchap na kueleza kuwa barua aliiandika kwa makosa, lakini Mhavile akamwambia barua imeshafika na imefanyiwa kazi na ombi lako limekubaliwa,. Hivyo mkurya yuko bench hivi sasa
Mpita Njia,
Oh.. basi kama ni kweli inasikitisha- maani ni mtangazaji mahiri tangu akiwa Redio Tanzania enzi zile!!!!
Sasa anafanya nini?
Ila mi namkubali sana Uncle J katika kutangaza.
Kama ana vyeti vyake aende TBC hakosi kazi pale atapata tu.
Ofisi ya Kadhi Mkuu wa Tanzania.
The Guy is good on the game, yaani ni mtangazaji mkongwe na mahiri. Tangu RTD kinywaji kilikuwa kinapanda na kazi anachapa. Tangu amejoin Radio One ni kazi na dawa kama kawa, iweje leo ndio awe mlevi. The Truth, Joyce Mhavile ni mtu mgumu kufanya nae kazi. She is Iron Lady who tolarates no nonsense. Lazima kuna mahali wamepishana kiswahili Julius akakasirika.
Wanyalu dont tolerate bullshit....I second you Semhaville....you go girl!
na wewe mnyalu nini? hivi kweli wanyalu wanakula mbwa?