Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,267
- 4,972
Aliyekua mkurugenzi wa Abood media bwana Julius nyaisanga,amefariki dunia huko Morogoro katika hospitali ya Mazimbu aliipo chuo kikuu cha sokoine cumpus ya mazimbu.
More to come
=========
More to come
=========
BREAKING NEWS:
Mwanahabari maarufu Julius Nyaisanga a.k.a Uncle Jay amefariki dunia leo asubuhi katika hospitali ya Mazimbu mjini Morogoro.
Nyaisanga ambaye alikuwa ni Meneja wa Abood Radio na Abood TV, pia amewahi kuwa mtangazaji na mkurugenzi wa zamani wa
ITV Tanzania & Radio One Stereo amefariki dunia kwa matatizo ya kisukari na presha.
MUNGU AILAZE ROHO YAKE
MAHALI PEMA
PEPONI