hawana jipya kabisa
Namuonea huruma,lakini njaa ndo imemuweka pale anasogeza siku
Mkuu wangu ataachaje kutoka mapovu huku chama chake kimetoa kauli ya kibaguzi huko Uzini?
Akampigie magoti Hamad Rashid amruhusu ajiunge na ADC
Ninyi vijana wageni Chadema msichokielewa ni kuwa mnapo inasibisha CUF na waislam au kejeli zenu Uislam cum udini hamjui kuwa kuna wanachadema wa ngazi za juu kabisa waislam wenye mapenzi na chama chao......Mtaje Mzee Bob Makani, Said Afri, Zitto Kabwe, Jafari Kasisiko,....hao wote ni waislam watanzania bara....hivi hamuelewi athari ya matusi yenu kwa CUF na kuinasibisha na Uislam!