payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Hana tofauti na wanafunzi wa Udom, akiwa udms bangi ilikuwa ndio starehe yake. Kipindi hicho alikuwa radical sana, kumbuka wakati ule anafuatilia mikopo ya wanafunzi hesbl, alikuwa anavuta kwanza then ndio anakenda kufanya mipango ya migomo.
Kama huamini acha na nenda zako, usichangie upupu kutokana na fikra zako.
Tahadhari kwa mods: nawaombeni msiipeleke sehemu ambayo sina access, nina uhakika na nilichokiandika. Acheni watu wachangie na mtasikia mengi. Acheni hila zenu bana, kama ni jamaa yenu acheni tu kwani penye ukweli uwongo hujitenga.
Kama huamini acha na nenda zako, usichangie upupu kutokana na fikra zako.
Tahadhari kwa mods: nawaombeni msiipeleke sehemu ambayo sina access, nina uhakika na nilichokiandika. Acheni watu wachangie na mtasikia mengi. Acheni hila zenu bana, kama ni jamaa yenu acheni tu kwani penye ukweli uwongo hujitenga.