Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
kuna habari nimepata hivi punde kwamba wanafunzi wa Primary/Secondary nao wamegoma leo Dar ili kushinikiza serikali kuwaachia Je ni kweli???????
Ni watoto kutoka shule tatu za Ilala Boma, Tabata na Uhuru mchanganyiko. Ilikuwa kama coicidence tu, wote waliandamana wakakutana ofisini kwa kandoro wakidai haki yao ya kufundishwa