Julius Mtatiro amponda Nape, CCM na JK juu ya ongezeko la posho ya wabunge

George Maige Nhigula Jr.

JF-Expert Member
Mar 14, 2008
470
149
Julius Mtatiro


Zitto,
nadhani Nape anaongea na kupinga posho bila kuamini anachokisema. Bunge limetoa wapi fedha nyingi hadi lianze kugawa maposho yaliyopitiliza? Nani analipangia bunge bajeti? Ni serikali! Serikali ya chama gani? Serikali ya CCM! Kwa nini serikali ya CCM inapanga excess budget katika shughuli za bunge wakati sekta ya afya haina bajeti ya ziada? Hivi kama serikali ingeipangia bunge bajeti halisi ya viwango vya kimatumizi vya kawaida, leo wangejiongeza posho kutoka fungu lipi? May be we are fighting the enemy we dont see and know!

Mimi naamini katika hili la kuongezeana maposho serikali ndiyo tatizo. Ikiwa serikali inajiamini na haiofii kutekeleza wajibu wake kwa kuwatendea haki wananchi haitaogopa bunge bila sababu. Kwa sababu serikali iliyoko madarakani ni dhaifu, the only thing it wil do is to make an alliance with bunge na wabunge ili isitetereshwe na kuhojiwa sana.

Kuongezwa kwa posho hizi hasa kunawalenga wabunge wa CCM, wao ndio wengi bungeni na wao ndio wana uwezo mkubwa wa kutikisa serikali na ikatikisika hasa kuliko wabunge wa upinzani walio wachache. Na kutokana na migogoro sugu iliyo ndani ya CCM na kutokana na wabunge wake kugawanyika lazima serikali "ijikombe" na kuwapooza. And to be honest, this is the winning technic, kumbuka pesa inawa-fool binadamu na viongozi wengi sana, tena pale inapokuwa ni pesa ya kutosha.

To give an "MP" 200,000/- per day in a country where a techer is paid 200,000 monthly is crazy, and may be we are not thinking again. Anayesababisha haya ni serikali, kama angekuwepo Mwalimu Nyerere angekataa kuongeza posho, na bunge lingemteteresha angelivunja na uchaguzi ungerudiwa na watanzania wote wangemuunga mkono, wangemchagua kwa kishindo. Wananchi ndiyo kila kitu. Kikwete anajua akiwatetea watanzania katika hili na incase akiundiwa zengwe likimshinda, akivunja bunge anajua hawezi kurudi tena. Hapa ndio pana tatizo, umesahau? SERIKALI LEGELEGE! SERIKALI ISIYOJIAMINI? HAIWEZI KUOKOA WANANCHI WANAOTESEKA. Kwa hiyo msimamo wa Nape juu ya posho sio lolote, chama chake na serikali yake ndio vimeongeza posho na si vinginevyo.


 
[h=6]Julius Mtatiro
[/h][h=6]Zitto,
nadhani Nape anaongea na kupinga posho bila kuamini anachokisema. Bunge limetoa wapi fedha nyingi hadi lianze kugawa maposho yaliyopitiliza? Nani analipangia bunge bajeti? Ni serikali! Serikali ya chama gani? Serikali ya CCM! Kwa nini serikali ya CCM inapanga excess budget katika shughuli za bunge wakati sekta ya afya haina bajeti ya ziada? Hivi kama serikali ingeipangia bunge bajeti halisi ya viwango vya kimatumizi vya kawaida, leo wangejiongeza posho kutoka fungu lipi? May be we are fighting the enemy we dont see and know!

Mimi naamini katika hili la kuongezeana maposho serikali ndiyo tatizo. Ikiwa serikali inajiamini na haiofii kutekeleza wajibu wake kwa kuwatendea haki wananchi haitaogopa bunge bila sababu. Kwa sababu serikali iliyoko madarakani ni dhaifu, the only thing it wil do is to make an alliance with bunge na wabunge ili isitetereshwe na kuhojiwa sana.

Kuongezwa kwa posho hizi hasa kunawalenga wabunge wa CCM, wao ndio wengi bungeni na wao ndio wana uwezo mkubwa wa kutikisa serikali na ikatikisika hasa kuliko wabunge wa upinzani walio wachache. Na kutokana na migogoro sugu iliyo ndani ya CCM na kutokana na wabunge wake kugawanyika lazima serikali "ijikombe" na kuwapooza. And to be honest, this is the winning technic, kumbuka pesa inawa-fool binadamu na viongozi wengi sana, tena pale inapokuwa ni pesa ya kutosha.

To give an "MP" 200,000/- per day in a country where a techer is paid 200,000 monthly is crazy, and may be we are not thinking again. Anayesababisha haya ni serikali, kama angekuwepo Mwalimu Nyerere angekataa kuongeza posho, na bunge lingemteteresha angelivunja na uchaguzi ungerudiwa na watanzania wote wangemuunga mkono, wangemchagua kwa kishindo. Wananchi ndiyo kila kitu. Kikwete anajua akiwatetea watanzania katika hili na incase akiundiwa zengwe likimshinda, akivunja bunge anajua hawezi kurudi tena. Hapa ndio pana tatizo, umesahau? SERIKALI LEGELEGE! SERIKALI ISIYOJIAMINI? HAIWEZI KUOKOA WANANCHI WANAOTESEKA. Kwa hiyo msimamo wa Nape juu ya posho sio lolote, chama chake na serikali yake ndio vimeongeza posho na si vinginevyo.[/h]

Kumbe nape ndiyo ccm?Nilikuwa sifamu kabisa aisee
 
siku hizi sithamini sana comment za mtatiro tangu nilipogundua jamaa anatumia siasa kuganga njaa'mambo yanayoendelea cuf inatuonyeesha jinsi wasivyo tayari kusaidia mapambano ya demokrasia tanzania
 
Julius Mtatiro


Zitto,
nadhani Nape anaongea na kupinga posho bila kuamini anachokisema. Bunge limetoa wapi fedha nyingi hadi lianze kugawa maposho yaliyopitiliza? Nani analipangia bunge bajeti? Ni serikali! Serikali ya chama gani? Serikali ya CCM! Kwa nini serikali ya CCM inapanga excess budget katika shughuli za bunge wakati sekta ya afya haina bajeti ya ziada? Hivi kama serikali ingeipangia bunge bajeti halisi ya viwango vya kimatumizi vya kawaida, leo wangejiongeza posho kutoka fungu lipi? May be we are fighting the enemy we dont see and know!

Mimi naamini katika hili la kuongezeana maposho serikali ndiyo tatizo. Ikiwa serikali inajiamini na haiofii kutekeleza wajibu wake kwa kuwatendea haki wananchi haitaogopa bunge bila sababu. Kwa sababu serikali iliyoko madarakani ni dhaifu, the only thing it wil do is to make an alliance with bunge na wabunge ili isitetereshwe na kuhojiwa sana.

Kuongezwa kwa posho hizi hasa kunawalenga wabunge wa CCM, wao ndio wengi bungeni na wao ndio wana uwezo mkubwa wa kutikisa serikali na ikatikisika hasa kuliko wabunge wa upinzani walio wachache. Na kutokana na migogoro sugu iliyo ndani ya CCM na kutokana na wabunge wake kugawanyika lazima serikali "ijikombe" na kuwapooza. And to be honest, this is the winning technic, kumbuka pesa inawa-fool binadamu na viongozi wengi sana, tena pale inapokuwa ni pesa ya kutosha.

To give an "MP" 200,000/- per day in a country where a techer is paid 200,000 monthly is crazy, and may be we are not thinking again. Anayesababisha haya ni serikali, kama angekuwepo Mwalimu Nyerere angekataa kuongeza posho, na bunge lingemteteresha angelivunja na uchaguzi ungerudiwa na watanzania wote wangemuunga mkono, wangemchagua kwa kishindo. Wananchi ndiyo kila kitu. Kikwete anajua akiwatetea watanzania katika hili na incase akiundiwa zengwe likimshinda, akivunja bunge anajua hawezi kurudi tena. Hapa ndio pana tatizo, umesahau? SERIKALI LEGELEGE! SERIKALI ISIYOJIAMINI? HAIWEZI KUOKOA WANANCHI WANAOTESEKA. Kwa hiyo msimamo wa Nape juu ya posho sio lolote, chama chake na serikali yake ndio vimeongeza posho na si vinginevyo.

mtatiro anaganga njaa!!!!
 
Pamoja na kuganga njaa lkn si kaongea ukweli? Shida yetu huwa tunamchukia mtu mpk hata maoni yake ya maana huwa tunachukia pia. Haya ndo yanayomkuta Hamad wa cuf walimchukia Lissu na cdm matokeo yake yanayomkuta angefuata ushauri wao yasingemkuta yanayomkuta.
 
tangia siku ile cuf wameungana ccm bungeni kuitukana chadema na tanganyika kuhusu mswada wa katiba nimetokea kuwadharau sana viongozi wa cuf.lsitoshe msimamo wa cuf kama chama wanaunga mkono posho
 
Julius Mtatiro


Zitto,
nadhani Nape anaongea na kupinga posho bila kuamini anachokisema. Bunge limetoa wapi fedha nyingi hadi lianze kugawa maposho yaliyopitiliza? Nani analipangia bunge bajeti? Ni serikali! Serikali ya chama gani? Serikali ya CCM! Kwa nini serikali ya CCM inapanga excess budget katika shughuli za bunge wakati sekta ya afya haina bajeti ya ziada? Hivi kama serikali ingeipangia bunge bajeti halisi ya viwango vya kimatumizi vya kawaida, leo wangejiongeza posho kutoka fungu lipi? May be we are fighting the enemy we dont see and know!

Mimi naamini katika hili la kuongezeana maposho serikali ndiyo tatizo. Ikiwa serikali inajiamini na haiofii kutekeleza wajibu wake kwa kuwatendea haki wananchi haitaogopa bunge bila sababu. Kwa sababu serikali iliyoko madarakani ni dhaifu, the only thing it wil do is to make an alliance with bunge na wabunge ili isitetereshwe na kuhojiwa sana.

Kuongezwa kwa posho hizi hasa kunawalenga wabunge wa CCM, wao ndio wengi bungeni na wao ndio wana uwezo mkubwa wa kutikisa serikali na ikatikisika hasa kuliko wabunge wa upinzani walio wachache. Na kutokana na migogoro sugu iliyo ndani ya CCM na kutokana na wabunge wake kugawanyika lazima serikali "ijikombe" na kuwapooza. And to be honest, this is the winning technic, kumbuka pesa inawa-fool binadamu na viongozi wengi sana, tena pale inapokuwa ni pesa ya kutosha.

To give an "MP" 200,000/- per day in a country where a techer is paid 200,000 monthly is crazy, and may be we are not thinking again. Anayesababisha haya ni serikali, kama angekuwepo Mwalimu Nyerere angekataa kuongeza posho, na bunge lingemteteresha angelivunja na uchaguzi ungerudiwa na watanzania wote wangemuunga mkono, wangemchagua kwa kishindo. Wananchi ndiyo kila kitu. Kikwete anajua akiwatetea watanzania katika hili na incase akiundiwa zengwe likimshinda, akivunja bunge anajua hawezi kurudi tena. Hapa ndio pana tatizo, umesahau? SERIKALI LEGELEGE! SERIKALI ISIYOJIAMINI? HAIWEZI KUOKOA WANANCHI WANAOTESEKA. Kwa hiyo msimamo wa Nape juu ya posho sio lolote, chama chake na serikali yake ndio vimeongeza posho na si vinginevyo.

Nimeyapenda maneno niliyotia ubluu. Wabunge wa CCM si kwamba wako kule bungeni kuwakilisha wananchi wao, la hasha wako kule kuchumia matumbo yao.
Ni kweli 'wananchi' ndo kila kitu kwa hiyo ikipigwa kampeni vizuri ifikapo 2015 mahakimu ni sisi dhidi ya hawa wadhalimu wa jasho letu.
Mshahara wa mwalimu, daktari, polisi na mtumishi yeyote wa umma kwa mwezi eti ndo posho ya wabunge kwa siku moja, hivi hawa si tunanunua bidhaa kwenye maduka na masoko haya haya kwa bei ile ile? Aibu hii.

 
Pamoja na kuganga njaa lkn si kaongea ukweli? Shida yetu huwa tunamchukia mtu mpk hata maoni yake ya maana huwa tunachukia pia. Haya ndo yanayomkuta Hamad wa cuf walimchukia Lissu na cdm matokeo yake yanayomkuta angefuata ushauri wao yasingemkuta yanayomkuta.

njaa +fikra mgando=?
 
Hizo posho nadhani ilikuwa ni mpango makakti na waililo litaka wamefanikiwa maana mswada ulipita bila kujadiliwa wakaishia kujalidili CDM
 
Ama kweli kua uyaone. sasa hivi siwaelewi CUF wako upande gani.. Sisi wengine misaafu ina2ambia uwe moto au baridi ukiwa vuguvugu nitakutema kinywani mwangu. Naona karibu CUF itatemwa kinywani. Subiri uone
 
matunda ya ndoa kati ya CCM na CUF tunaanza kuyaona. Sijui kitazaliwa nini
 
Julius Mtatiro






Wananchi ndiyo kila kitu. Kikwete anajua akiwatetea watanzania katika hili na incase akiundiwa zengwe likimshinda, akivunja bunge anajua hawezi kurudi tena. Hapa ndio pana tatizo, umesahau? SERIKALI LEGELEGE! SERIKALI ISIYOJIAMINI? HAIWEZI KUOKOA WANANCHI WANAOTESEKA. Kwa hiyo msimamo wa Nape juu ya posho sio lolote, chama chake na serikali yake ndio vimeongeza posho na si vinginevyo.


Amesaini Muswaada ambao alikubaliana na Chadema kwamba ni bomu, kisa eti asipousaini, japo ni Mbovu na Ameyaona Mapungufu, Je "Wenzake" watamwelewa! Well said Mtatiro, jamaa anajua kuwa Uchaguzi ukiitishwa leo, hawezi rudi! Shehe Yahaya wakuwatishia watu hayupo.
 
Back
Top Bottom